Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #101
Nenda Youtube au Facebook kaangalieUnayo kweli iyo sexy body au unatukoga tu hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda Youtube au Facebook kaangalieUnayo kweli iyo sexy body au unatukoga tu hapa?
Nenda Youtube au Facebook kaangalie
Haki ukitaka kupata kichaa basi oa huyu dada, huhitaji kudungwa sindano ya sumu ili ufe ila utakufa kwa sumu toka mwilini mwako mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
jaman anataka kuolewa acheni kumwonea wivu!Anatafuta mwanmme kumf..... tu
hahahahahha uuuuwiNipo tayari kumuoa, ila kwa vyuma hivi nazani dharau zitakuwa nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumweka changu ndani inabidi ujitoe ufahammimi bado nauliza mbona USED car toka japan mnanunua?
jamaaan vbaya hivoooGazeti jioni.
Kwahiyo magari used ni machangu?!Kumweka changu ndani inabidi ujitoe ufaham
Bonge Mzuritupe jina basi la facebook
Gari ni tofauti na mke, ukilichoka unauzaKwahiyo magari used ni machangu?!
mbona wewe bado unanunua Used car ina maana unanunua changu?!
uwoya karudi Bongo... hataree!Kwnza Yeye safari ya Dubai lini? Mwenziwe ndo kwanza amerudi. Mana iyo ndio michezo yao
Vice Versa is TrueGari ni tofauti na mke, ukilichoka unauza
Kuokoka sio tatizo,hahahahahha uuuuwi
sasa hivi ameokoka! ametulia
HAHAHAHHAKuokoka sio tatizo,
Tatizo wanawake wa siku hizi wamekuwa watu wa kutuaibisha sie wanaume suruali.
Mfano Gigy Money, eti baba watoto wake anamuachia bukubuku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivyo tunaepusha Shari bhanaa, wacha tukaokote videnti tunavyoendana na vipato vyetuHAHAHAHHA
SASA UNATAKA ATUDANGANYE KUWA ANAMUACHIA LAKI 2 KWA SIKU?
ME NAMPENDA SANA GIGGY MONEY MKWELI KABISA!
ni sauwaaaNdio hivyo tunaepusha Shari bhanaa, wacha tukaokote videnti tunavyoendana na vipato vyetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hahahaKilichonisikitisha hapa, wale wanaume waliovaa sare nyeupe hawatofautiani na wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona mimi nina sexy body kama ya Wema alafu Mzuri kama wema na sina laana?!
we acha kutudanganya bwana!