Wema Sepetu anaufunga mwaka vibaya, afukuzwa kwenye nyumba aliyodai kuinunua 280m

Wema Sepetu anaufunga mwaka vibaya, afukuzwa kwenye nyumba aliyodai kuinunua 280m

Oooh wale shabiki zangu,
walionisifu kwa maneno matamu,
leo maadui zangu,
ni mitusi tu kwa instagramu.

Aaaah je UTANIPENDAGAA...?
 
Mkuu Mungu hajampangia mtu mbaya.. U shape your own life..

Huyu binti kachezea sana maisha, ebu angalia maisha ya Miss Tanzania wenzake Kama Jack Mengi, Faraja Nyalandu, Nancy Sumari, yule mtoto wa Sinare, hata sasahivi ukiangalia ya huyu Brigete unaona ana promising future kuliko huyu Wema...

Ni sawa mkuu inawezekana ni kweli kabisa unachokisema ila mwisho wa siku ni binadamu tu na hatujakamilika na kesho yetu hatuijui ,i know she could have done better with all the fame ,chances and money but still thats not our job to judge her ,i real don't judge people by WHAT they are but i judge people by WHO they are ....may be we should just support her,and pray for a better tomorrow
 
Ni sawa mkuu inawezekana ni kweli kabisa unachokisema ila mwisho wa siku ni binadamu tu na hatujakamilika na kesho yetu hatuijui ,i know she could have done better with all the fame ,chances and money but still thats not our job to judge her ,i real don't judge people by WHAT they are but i judge people by WHO they are ....may be we should just support her,and pray for a better tomorrow

Mkuu maneno ya watu yapo tu.. ila hayana lolote, kwasababu hata tukimsifu kwa maneno matamu hapa hayatampa nyumba ya kuishi na ni zaidi ya miaka 8 ameishi kama superstar, kwahiyo challenge kama hizi naamini zinamfanya awe shupavu zaidi..

Nimependa harakati zake za kujishughulisha na biashara ila bado anaupuuzi mwingi, naamini haya yatamjenga ila ikiwa tofauti itakuwa sikio la kufa..

Kabla ya Range (kama kweli ni yake) alikuwa na Murano (38m) na BMW (58m) huwezi ukawa na gari hizo afu huna hata kapagale au biashara inayojiendesha kukusaidia kujenga mjengo wako.. Anaishia kujisifu tu, kuvaa nguo za milioni kadhaa ni MATOPE kabisa sio AKILI hata kidogo....
 
Mkuu maneno ya watu yapo tu.. ila hayana lolote, kwasababu hata tukimsifu kwa maneno matamu hapa hayatampa nyumba ya kuishi na ni zaidi ya miaka 8 ameishi kama superstar, kwahiyo challenge kama hizi naamini zinamfanya awe shupavu zaidi..

Nimependa harakati zake za kujishughulisha na biashara ila bado anaupuuzi mwingi, naamini haya yatamjenga ila ikiwa tofauti itakuwa sikio la kufa..

Kabla ya Range (kama kweli ni yake) alikuwa na Murano (38m) na BMW (58m) huwezi ukawa na gari hizo afu huna hata kapagale au biashara inayojiendesha kukusaidia kujenga mjengo wako.. Anaishia kujisifu tu, kuvaa nguo za milioni kadhaa ni MATOPE kabisa sio AKILI hata kidogo....

Mkuu uko sawa kabisa sikua na maana ya kumsifia kwa asivyo stahili au kutokukosolewa ila anapokua kwenye matatizo basi walau apate wa kumfariji yule ni mwanamke na ni kiumbe dhaifu sana kwa anayopitia na akikosa support ya kumfariji uchelewi kusikia kajitia sumu ,ni kweli kila mtu ana priorities zake na pia kwenye miti hamna wajenzi ,wako wapi kina Calvin wa home alone ????? Si kaishia kua teja wa kutupwa ?
 
Looh jamani, sasa lile range lake atapaki wap? Watu wanapenda umaarufu mjini halafu hawana pa kukaa mxieewe na bado

Kujifanya bossylady mxiee kumbe mwizi, kwanza wangeliweka ndani tu mbwa hilo

Eti mil 280 ,nyokoooooo mamamayo, rahis kuitamka eeh?? Kwa k gani uliyokua nayo hapa mjini? Rudi tu sinza uswahilin kwenu, maana ndo panakufaa

Mama ongea na mwanao umsaidie kafukuzwa, ongea na samia magufuli akusaidie pa kukaa mbwa wewe, kutwa kujishaua na kampeni za ccm, wamekupeleka wapi mxieeee

Aiseeee......😕:what:
 
Haha mkuu muoneeni huruma,kuzaa hazai,hana bahati ya kukaa na mwanaume,Tanesco nao wako nyuma yake ,Mara sijui Dawasco haya leo katimuliwa ,jamani vyote hivyo anavibeba ,anaweza akawa kichaa walahi

Mi namuonea huruma
 
Jamani Wema, anaigiza mpaka kwenye maisha yake halisi. Kama yule dada yake wa Los Angeles. Kuishi ili watu wakuone ni mbaya sana kwenye maisha unatakiwa uwe na principles. Hata kama umeamua kuuza basi unahakikisha unaweka malenge. Ninakumbuka wakati ule ameenda Dubai shopping akawa anaonyesha pair ya kiatu amenunua $4,000 sasa hao uliowaonyesha ndiyo wanahamaki sasa hivi.
 
Diamond please msaidie wema akae ata stoo kwako jaman ataumbuka mjini maana hana pa kukaaa, kila mtu anamkimbia mjini alivyojaa nuksi maskini, hiz nyota za bundi tabu sana, zinawaka usiku tu mchana giza, atajibeba

Warumi na wewe unanichekesha, haku kabisa muache Baba Tiffah aka Mumevwa Zari nje ya maisha ya huyu kigawa. Teh teh teeeeeee

Hata akiota harudi huko na kumtukania mama yake alimtukana kisa wivu, aende nyumbani kwa Idriis bwanake mpya kama atamkubali au kwa petiotomani au kanndinda.
 
Jamani Wema, anaigiza mpaka kwenye maisha yake halisi. Kama yule dada yake wa Los Angeles. Kuishi ili watu wakuone ni mbaya sana kwenye maisha unatakiwa uwe na principles. Hata kama umeamua kuuza basi unahakikisha unaweka malenge. Ninakumbuka wakati ule ameenda Dubai shopping akawa anaonyesha pair ya kiatu amenunua $4,000 sasa hao uliowaonyesha ndiyo wanahamaki sasa hivi.

Ndo maana nampendaga lulu mtoto mdogo ila akili nyingi, kila mtu ana mapungufu ila lulu ana akili sana, amejenga na mama ake amemjengea ana maduka ila hana show off kama za mbunge sepetu
 
Mnataka kusema Chama hakina msaada kwake? Utani huu jamani mama Samia
 
INSHU YA DR MWAKA ILIPANGWA

Hivi karibuni mdada machachari anayejulikana kwa kutukana watu bila uoga akijivunia kutoishi Tanzania hivyo mkono wa dora hauwez kumkamata na ambaye alikuja ili agombee ubunge akaishia polisi Mange Kimambi aliibuka na kuanza kumsakama dr Mwaka kuwa ni daktari feki na amekuwa akiwafanyia vitu vya ajabu akina mama.
Iliniumiza akili kumuwazia Mwaka kwa sababu nina ndugu yangu aliyepata tiba kwa huyu jamaa na akapona tatizo lake na leo ana mtoto na furaha maishani mwake.
Nikajiuliza hivi kama kuna watu walifanyiwa vitendo visivyofaa mbona hawajawah toka hadharani? Basi hata huyo Mange mbona hakuweka ushahidi juu ya hao watu zaidi ya porojo?
Nikajiuliza tena! Hivi kila sehemu ya tiba mfano Muhimbili kila anayeenda kupata tiba anapona? Iweje kwa Mwaka waseme kuna wasiopona? Inamaana walitaka wote walioenda pale wapone? mpaka wale waliotoa mimba na kuharibu vizazi?
Wakageuka na kusema anajifanya daktari wa kisasa wakati ana kibali cha mitishamba! Nikajiuliza kuna mtu alishapewa dawa za hospital kule kwa ? Mwaka? Mbona wote wanaoenda pale wanapewa mitishamba na matunda pekee?
Wakauliza amesomea wapi udaktari hivi kumbe uganga wa mitishamba unasomewa? Chuo gani hapa Tanzania na mimi niende??
Nilipata walakini lakini baada ya mishemishe za kutwa tangu Mwaka aumbuliwe kule Insta kama wanavyodai kuna mtu mpya kaibuliwa na anapewa promo sana anaitwa Fadhageti! Kwa sasa ukienda kila page ya superstar utakuta kampost huyo jamaa tena kwa advetise nyingi kuwa anatibu matatizo ya uzazi na sio tapeli na kumpamba kibao.
Jana usiku Mange naye akampost kwa sekunde chache ila watu walipomshambulia akatoa!
Baada ya kuunganisha hayo yote nikagundua kuwa kuna mchezo unaendelea chini kwa chini tena watu wakiwa wamelipwa pesa ya kutosha(mange) na mheshimiwa mmoja ili tu wamshushe Mwaka na kumpandisha jamaa mwingine baada ya kuona Mwaka anakuwa tishio kwa matabibu wenzake wa tiba za asili!
Naamin hamtaweza kwa sababu waliowahi kupata tiba kutoka kwa Mwaka na kupona ni wengi na wanashuhuda zao!!
Sinema bado inaendelea subirini tuone mwisho wake

Junior
Insta USHAURI_mahusiano
 
Last edited by a moderator:
Jamani udaku ni noma....mbona niko na wema hapa kwake k'nyama ananionesha gauni lake la kuvaa x-mass kalinunua $6000
 
Ngoja kwanza...ina maana alikuwa na nyumba ingine ya milioni 280?

Manake miaka kama mitatu ilopita aliitambulisha nyumba 'yake' ilodaiwa ni ya milioni 400!

Au hii ya milioni 280 ndo ile ile ya milioni 400?

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom