Hivi ukipigiwa mkeo inabidi na wewe utafute mke wake na wewe umpigie kazi kweli. Sasa hapo maumivu kwa mwanamke au mwanaume ngoja niwaite wataalam. warumigeniverosDinarzarde
.madai yake ni kuwa anafanya project Ommy D na ndio maana walienda kwa kina Ivan ili wafanye project vizuri,Ila yote kwa yote Wema kajishusha sana,she's a bitch
Hivi ukipigiwa mkeo inabidi na wewe utafute mke wake na wewe umpigie kazi kweli. Sasa hapo maumivu kwa mwanamke au mwanaume ngoja niwaite wataalam. warumigeniverosDinarzarde
Hii ni tamaa ya wanawake wengi,kaona picha za kula bata. pesa zinarushwa pichani huyo kaenda kukutana nao.
Shame on her kwa kweli kwa tabia hii, angekuwa mke wa Chibu tungesema ni mke wa ndoa mengine. Ila amemwacha Chibu, now ka move on anamsaka kwa kujiweka low sijui anashindania nini.