Wema Sepetu kajipeleka kwa mume wa Zari, Ivan

Wema Sepetu kajipeleka kwa mume wa Zari, Ivan

Siajabu wewe unayecheka Una michirizi zaidi ya wema sema hujulikani, Kama wabisha weka picha tukusaminishe.

Teh! Teh!
Marahabaaaa!!! Humu watu wako perfect kila kona hawanaga hata michirizi nakwambia kazi kumcheka Wema tu....sijui tunaopishana nao huko mitaani wamepasuka mpaka makwapani ni akina nani! Lol....binadamu siye!
 
Teh! Teh!
Marahabaaaa!!! Humu watu wako perfect kila kona hawanaga hata michirizi nakwambia kazi kumcheka Wema tu....sijui tunaopishana nao huko mitaani wamepasuka mpaka makwapani ni akina nani! Lol....binadamu siye!

Mi sifurahii mambo mabaya ya Wema lakini jinsi anavyosemwa humu nashindwa kuelewa, hakuna mkamilifu jamani, humu Kuna watu wabaya wenye michirizi, malaya wamejikoboa mpaka hawatazamiki lakini kwa kuwa hatujuani basi kasoro zote ni za Wema, aachwe mtoto wa watu hajaifikia list ya mwenzie bado.
 
Hajisikii vibaya mtu mzima aliyeacha watoto na mume anazurura na kijana wa haki elimu ndo wajisikie vibaya mashabiki wa Wema?? Hiki kituko sasa.

wameachana wale zari na mumewe wangekua wako pamoja sawa na watoto wanaishi kwa baba na mama
suala la mapenzi si lakuingilia kati ila kitendo cha kuanza kujiassociate na ivan sio kizuri
ht km lengo lake ni kumkomesha zari na daimond ila kwa pale amechemsha

mi siwezi kumsemea maumbile yake sijui michirizi hayo ya kwake

ila kwa sasa wema anatafuta umaarufu kwa nguvu kweli
 
Aachwe na maisha yake, fainali uzeeni sio Wema tu wa kushauriwa kwenye familia zetu kuna waliokengeuka hatari ya Mungu lakini hatuwaoni isipokuwa Wema, tumezidi jamani tangu mmeanza kumshauri amewasikiliza?? Si ajabu hata koment zenu hasomi nyie mnapasua vichwa tu watu wazima.
 
Back
Top Bottom