Jokate nae angeachana na hizo mambo mbona yule kichwani zimo ana akili ya kufanya biashara kishapiga dili na wachina naona yupo level nyingine aache huo ujinga ujinga wa kina mheshimiwa
Wame hack account yako?
Hapana, sioni sababu kabisa ya Wema kuwa attacked hapa, ati kisa tu anataka tumia haki yake kikatiba.
Its wrong. Very wrong.
Joto hasira, Hussein Mwinyi alikuwa mbunge wa Mkuranga. Sema lingine.
Bungeni hatapata biashara kabisa... kitumbua chake kitadoda... bungeni kuna watoto wakali mara 100 ya Wema wanakuja kwa bei poa na wako low profile... Watoto wakali sana na wako cheap, Wema hana chake bungeni...kwanza wabunge hawapendi kuwa ktk front pages kila siku za udaku...!!!
Hata mbunge akitaka kumpiga kabaang, bado ataacha sbb anajua it will go viral ktk media, na kuharibu ndoa yake...!!!
Wema abakie auze tu huku huku mtaani...!!!
Mheshimiwa sio mrangi...baba mzenji mama mnyaturuKumbe wema ni mrangi?
Hivi waheshmiwa wanaruhusiwa hizo?najua ni against code of conduct au wenyewe ni poaAiseeee... Sipati photo wema na ule mchata wake cjui ni lijoka au kenge shingoni eti ni mhes...mdomo umekataa kutamka!
Wema akipata huo ubunge I wont n never be surprised manake huko ccm vyeo vingi tena zaidi ya 90% vya wanawake ni vya vyupi, nayeye wema si mchoyo asilani anauwezo wa kuwagawia wakuu wa idara zote.
Na mimi nimesoma nikataka kuuliza, huyo ni meneja wake sijui mfanyakazi wake anatangaza naona hata hawajui wote wanataka nini bali ubunge tu.
Hakika Wema akiwa Mbunge ....nitashangaa sana....! Lakini kwa kule singida hawezi pata na sidhani kama ana harakati zozote kwa Chama cha mapindizu!