tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,419
Jokate nae angeachana na hizo mambo mbona yule kichwani zimo ana akili ya kufanya biashara kishapiga dili na wachina naona yupo level nyingine aache huo ujinga ujinga wa kina mheshimiwa
Yn haendani nao kabisaaaa...kale ni ka malaya underground