Wema Sepetu kugombea Ubunge viti maalum Singida

Wema Sepetu kugombea Ubunge viti maalum Singida

Brazakak naona umedandia train kwa mbele! Angalia utaburuzwaaa bureee!
Mimi nilikua nimeongelea katika context ya nani wa kumpigia kura katika tuzo za MTV.
Umenijia na waraka....ndefu sipendiiii.

Ivi umesoma? Hawa ni wazee wa kukurupuka
 
okay

ana haki ya kugombea kama mtanzania mwingine

na wachaguaji wana wana haki ya kuchagua au kuacha

hakuna haja ya kutukanana matusi ivo..

Nashangaa kuna watu wamekazania kumhukumu na kutukana matusi yote Mara kahaba utafikiri wao ni wasafi sana mbele ya Mungu na hawajawahi kukosea.
Wao wanajua dhambi ni umalaya wamesahau chuki husda uzushi kuwa yote ni dhambi.
Kuna wengine ni wababa na wanawake na wamezaa watoto wa kike bado wananyooshea wengine vidole. Uzuri na wao wamezaa hawaja wagumba.
Kila MTU ana makosa kusakama wengine as if wao ni wasafi sio fair and noti raiti.
 
kimboka yote itamchagua awe mbunge wao, kama ni hivyo hata mimi nampa kura yangu na si vinginevyo! Puuuuuuuuuuuuuuuuu! Nchi hii????? Aliyeturoga atusamehe wallahi!


ndio maana mi nasubiri awe mbunge kwanza ndio nitasema yaliyomo
 
huyu asie na hiana kuvua pichu akiingia bungeni wale wazee watarogana
 
Wewe kwa kujitoa ufahamu na vimatusi vyako juzi ulijifanya umenivaa eeeh. Usie fuzwa ukafunzika. Jichizishe tu.
Umewahi kuangushiwa miti IPO siku ushamba utakutoka
Kuishi maisha y a kutegemea akili za watu kaaazi kweli kweli... bora. Use mkazi was nke ge
 
Wewe kwa kujitoa ufahamu na vimatusi vyako juzi ulijifanya umenivaa eeeh. Usie fuzwa ukafunzika. Jichizishe tu.
Umewahi kuangushiwa miti IPO siku ushamba utakutoka
Kuishi maisha y a kutegemea akili za watu kaaazi kweli kweli... bora. Uwe mkazi was nke ge
 
Umewahi kuangushiwa miti IPO siku ushamba utakutoka
Kuishi maisha y a kutegemea akili za watu kaaazi kweli kweli... bora. Uwe mkazi was nke ge

Nategemea akili za nani na we we hyo miti haina jipya unikome usiji fanye unajua matusi. Uwe unatukana mapya.
 
nakwambia these things only in tanzania! Mmmmxxxxiiiieeewwwww! Kuna vitu vinauma mnoooooo!

Usiumie mkuu
Haya mambo achana nayo hata usiyafuatilie sana
watanzania si watu wa shukrani wala kumtakia mtu mafanikio
Ukifanikiwa wataanza kampeni za kukushusha ukilost wanafurahia
 
Kutoka instagram naoni ya mdau soma screenshots

1434722041994.jpg

1434722070848.jpg

1434722086760.jpg

1434722103871.jpg
 
Back
Top Bottom