Tumuamini nani kati ya hawa: Mrs Sepetu, Wema, Wikipedia, mtoa mada na wewe?Aliingia miss tz akiwa na miaka 16...
Ila alidanganya ana miaka 18 ili aweze kushiriki..
Bila kumsahau mama ake alosema kamzaa 1988Tumuamini nani kati ya Wema, Wikipedia, mtoa mada ana wewe?
Asante kwa nyongeza, tusubiri jibu sasa 😂Bila kumsahau mama ake alosema kamzaa 1988
Wikipedia hata wewe unaweza ukaingia na kuhariri. Pia umri wa Wema unakusaidia nini? Hebu jitafute achana na kufuatilia mambo ya watuJuzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.
View attachment 2768144
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema kuwa na miaka 35. Na hii inaleta mantiki ya kwamba alipokuwa anashiriki Miss Tanzania 2006 alikuwa na miaka 18.
Umri wa Wema na Jokate ni sawa,wote ni 1987! Kama anabisha aje inboxJuzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.
View attachment 2768144
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema kuwa na miaka 35. Na hii inaleta mantiki ya kwamba alipokuwa anashiriki Miss Tanzania 2006 alikuwa na miaka 18.
View attachment 2768866
Kujadiliana kwenyewe hamuwezi sasa mtajadili mambo yepi ya msingi zaidi ya huu undwazi wa mpwa wenu?Tanzania kuna mambo ya msingi sana ya kuyajadili tukiachana na huu ujinga
KabisaTanzania kuna mambo ya msingi sana ya kuyajadili tukiachana na huu ujinga