Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Hii nayo ni topic kujadili umri wa mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda alidanganya umri ili aweze kushiriki Miss Tanzania kumbuka Wikipedia sio trusted sources mtu yoyote anaweza kupost kitu kwenye website yake halafu anakitumia kama source kwenye entry ya wikipedia. Msema kweli hapo ni mama yake.Juzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.
View attachment 2768144
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema kuwa na miaka 35. Na hii inaleta mantiki ya kwamba alipokuwa anashiriki Miss Tanzania 2006 alikuwa na miaka 18.
View attachment 2768866
Ajitafute???????????umejuaje mwana kapotea?Wikipedia hata wewe unaweza ukaingia na kuhariri. Pia umri wa Wema unakusaidia nini? Hebu jitafute achana na kufuatilia mambo ya watu
Unataka kuwasha umeme kwenye celebrities forum?Kwahiyo hii thd inajadili umri wa mtu? Au mimi ndio sijaelewa? Mkisha jua umri wake itasaidia nini? Umeme utawaka?
Ila nadhami vitu vingine ni too personalJuzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.
View attachment 2768144
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema kuwa na miaka 35. Na hii inaleta mantiki ya kwamba alipokuwa anashiriki Miss Tanzania 2006 alikuwa na miaka 18.
View attachment 2768866
Wikipedia ya buza 😂😂
hata angesema ana miaka 25 poa tu, hasa kama itamsaidia kwenye kazi zakeJuzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.
View attachment 2768144
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema kuwa na miaka 35. Na hii inaleta mantiki ya kwamba alipokuwa anashiriki Miss Tanzania 2006 alikuwa na miaka 18.
View attachment 2768866
Wikipedia sio credible source, hata wewe unaweza kuedit hizo taarifa.Juzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.
View attachment 2768144
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema kuwa na miaka 35. Na hii inaleta mantiki ya kwamba alipokuwa anashiriki Miss Tanzania 2006 alikuwa na miaka 18.
View attachment 2768866