Wema Sepetu kwanini anadanganya umri? Ushahidi huu hapa

Wema Sepetu kwanini anadanganya umri? Ushahidi huu hapa

🤣🤣🤣🤣🙌🙌bongo noma
Kalpana
 

Attachments

  • IMG-20231011-WA0021.jpg
    IMG-20231011-WA0021.jpg
    80.5 KB · Views: 3
Juzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.

View attachment 2768144
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema kuwa na miaka 35. Na hii inaleta mantiki ya kwamba alipokuwa anashiriki Miss Tanzania 2006 alikuwa na miaka 18.

View attachment 2768866
Labda alidanganya umri ili aweze kushiriki Miss Tanzania kumbuka Wikipedia sio trusted sources mtu yoyote anaweza kupost kitu kwenye website yake halafu anakitumia kama source kwenye entry ya wikipedia. Msema kweli hapo ni mama yake.
 
Juzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.

View attachment 2768144
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema kuwa na miaka 35. Na hii inaleta mantiki ya kwamba alipokuwa anashiriki Miss Tanzania 2006 alikuwa na miaka 18.

View attachment 2768866
hata angesema ana miaka 25 poa tu, hasa kama itamsaidia kwenye kazi zake
Tuache kufuatilia maisha Binafsi ya watu
 
Juzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.

View attachment 2768144
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema kuwa na miaka 35. Na hii inaleta mantiki ya kwamba alipokuwa anashiriki Miss Tanzania 2006 alikuwa na miaka 18.

View attachment 2768866
Wikipedia sio credible source, hata wewe unaweza kuedit hizo taarifa.
 
Back
Top Bottom