Wema Sepetu kwanini anadanganya umri? Ushahidi huu hapa

Wema Sepetu kwanini anadanganya umri? Ushahidi huu hapa

According to Mange, Wema alidanganya umri! Wakati anashinda Miss Tanzania umri wake wa kweli ulikuwa miaka 16 na hiyo ilikuwa mwaka 2006.
 
Wizo nakusemea kwa bro [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo ni best yangu jamanii, mbona unataka kunivurugia ndoa wizooo, ntakunyuka vishavu vyako hivyo, muone kwanza [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema wema sepetu amejutunza Sana hata akisema ana 21 huwezi kukataa she is looking good.

Age is nothing but a number
 
Wema ni wa 1990....
Sema faili lake la matukio limejaa kutuzidi sisi dada zake..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu hawataki kuitwa mabibi mjini hapa..
 
Juzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.

View attachment 2768144
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema kuwa na miaka 35. Na hii inaleta mantiki ya kwamba alipokuwa anashiriki Miss Tanzania 2006 alikuwa na miaka 18.

View attachment 2768866

Umri ni namba tu, mwenyewe anajihisi 33, wewe inakuwasha nini?

Tena mie namhisi kama 24 tu.
 
Ungemuuliza mama yake angekupa umri sahihi wa mwanae! Vinginevyo Birth Certificate ni muhimu.
 
Juzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.

View attachment 2768144
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema kuwa na miaka 35. Na hii inaleta mantiki ya kwamba alipokuwa anashiriki Miss Tanzania 2006 alikuwa na miaka 18.

Ingawa nimekujibu juu huko, nimeona nikuongezee fikra kidogo.

Inawezekana alidanganya na kujiongezea miaka ili apate kuingia kwenye u miss Tanzania.

Hapo vipi?
 
Back
Top Bottom