Wema Sepetu kwanini anadanganya umri? Ushahidi huu hapa

Wema Sepetu kwanini anadanganya umri? Ushahidi huu hapa

Wema alikuwa pisi kalii sana miaka ya 2006.
pamoja na Sinta na yule aliekuwa Miss kinondoni akaja kuwa Miss Tanzania.


wale warembo wa wakati ule ambao hata Naibu Mh. Mwana FA aliwaimba walikuwa visu kweli kweli

Tulikuwa tukiokota foreign perdiem za Hayati Mzee Mkapa tulikuwa tunapita pita vyuoni kupambana na msongo wa mawazo

siku hizi binti ana miaka 19 lakini analimkanda la kukaza tumbo kuficha minyama iliyotepeta
 
Mwenyewe wizo nimeshangaa Wema anatwaa taji la Miss Tz niko baby class ila now tuko same age [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bongo sihami
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]

Nasikia umri wake unahesabiwa kwa muda wa masaa kumi na mbili tu ya mchana. Muda wa usiku hauhesabiwiiii.[emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Akiii, unaweza kushangaa huyu mwanangu aliyeko tumboni akaja kulingana umri na wemaaa jamooniii [emoji85][emoji85][emoji85]
 
pamoja na Sinta na yule aliekuwa Miss kinondoni akaja kuwa Miss Tanzania.


wale warembo wa wakati ule ambao hata Naibu Mh. Mwana FA aliwaimba walikuwa visu kweli kweli

Tulikuwa tukiokota foreign perdiem za Hayati Mzee Mkapa tulikuwa tunapita pita vyuoni kupambana na msongo wa mawazo

siku hizi binti ana miaka 19 lakini analimkanda la kukaza tumbo kuficha minyama iliyotepeta
"""siku hizi binti ana miaka 19 lakini analimkanda la kukaza tumbo kuficha minyama iliyotepeta""
Daaah hatari sana 😂😂😂😂🙌🙌🙌
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]

Nasikia umri wake unahesabiwa kwa muda wa masaa kumi na mbili tu ya mchana. Muda wa usiku hauhesabiwiiii.[emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Akiii, unaweza kushangaa huyu mwanangu aliyeko tumboni akaja kulingana umri na wemaaa jamooniii [emoji85][emoji85][emoji85]
Wizo ntakupasua 🤣🤣🤣
Ko kijacho wetu atakuwa rika moja na Wema hauozi 🤣🤣🤣
 
Kuna watu wawili huwa wananifurahisha sana kiswahili chao.
Huyu wizo na antonnia
Wizo utamu anakuambia utrrraaamu [emoji23]
Antonnia sijapenda anakuambia sijapentraa[emoji23]
🤣🤣🤣 hao watu wana dunia ya peke yao na viswahili vyao, Antonia ndo ana balaa anaandika km ana mafua, wizo km kuna kitu anakisikilizia anakivuta kutoka mbali
 
Back
Top Bottom