Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Muacheni maisha si yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Njooni inbox niwakague vishundu
dah napata changamoto kuingia pm kutokana na aina ya simu ndugu . Naona notification tokea jana ila sijafanikiwa kuifungua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
anhaa duhdah napata changamoto kuingia pm kutokana na aina ya simu ndugu . Naona notification tokea jana ila sijafanikiwa kuifungua
🤣supastaa supastaaa supastaaa wa booongoo supastaaa supastaaa 🎶🎶🎶🎶
fanya unitext basdah napata changamoto kuingia pm kutokana na aina ya simu ndugu . Naona notification tokea jana ila sijafanikiwa kuifungua
yaani kwa kifupi kuingia inbox changamoto kwa hii mobile phone.fanya unitext bas
Hujambo kijana .muwe mnasalimiaWema amezaliwa 85 au 86. Nimesoma nae vidudu mwaka 91 kwa ticha( ...jina kapuni). Mimi nimezaliwa 85 May.
Sema kweliWema amezaliwa 85 au 86. Nimesoma nae vidudu mwaka 91 kwa ticha( ...jina kapuni). Mimi nimezaliwa 85 May.
Asante kwa maoni yako.
Lakini kishundu changu ni bora kuliko kishundu chako chenye mapele.
Nimejaliwa utrraamu.
Nimewekwa kwenye ban[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
fanya unitext bas
Nimewekwa kwenye ban[emoji23]
Sijui shida nnPole
Am.joking mkuuSema kweli
Yaani Mimi niwe na 57 sasa Yeye awe in her 30's? Aache Kutudanganya Watu wenye Akili zetu hapa duniani.Juzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.
View attachment 2768144
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema kuwa na miaka 35. Na hii inaleta mantiki ya kwamba alipokuwa anashiriki Miss Tanzania 2006 alikuwa na miaka 18.
View attachment 2768866
Sijui shida nn
Ni hii app? Naona hata sielewi sijui nimepigwa ban, nimejaribu pia kutuma msg pm kwako naona pia inagomaPole
Ni hii app? Naona hata sielewi sijui nimepigwa ban, nimejaribu pia kutuma msg pm kwako naona pia inagoma