raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
mshamba_hachekwi unacheka tuu 😄 ernest napoleon huyo aliimba unamjua 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh, hata simjui mimi nimewazoea kina harmonizemshamba_hachekwi unacheka tuu 😄 ernest napoleon huyo aliimba unamjua 😄
Hahaaaaaaaa sio kosa lako hiyo ilikuwa wayback enzi hizo jamaa alikuwa mtangazaji wa channel 5 🖐😄duh, hata simjui mimi nimewazoea kina harmonize
Acha uongo. Wema ni dogo tumemkuza wenyewe Sinza. Kazaliwa 90.Wema amezaliwa 85 au 86. Nimesoma nae vidudu mwaka 91 kwa ticha( ...jina kapuni). Mimi nimezaliwa 85 May.
hata jiyo channel 5 siijui🤣Hahaaaaaaaa sio kosa lako hiyo ilikuwa wayback enzi hizo jamaa alikuwa mtangazaji wa channel 5 🖐😄
Hahahaaaaaaaaa TV ilikuwa bado haijanunuliwa au ulikuwa bado hujazaliwa dogoo 😄hata jiyo channel 5 siijui🤣
mimi channel 5 ninayoijua ni eatv😂Hahahaaaaaaaaa TV ilikuwa bado haijanunuliwa au ulikuwa bado hujazaliwa dogoo 😄
Ndio hiyo hiyo kabla ya kuitwa eatv ilikuwa channel 🖐😄mimi channel 5 ninayoijua ni eatv😂
Mmemkuza mme mkaza?Acha uongo. Wema ni dogo tumemkuza wenyewe Sinza. Kazaliwa 90.
Exactly tena mange aliiongelea na miongoni mwa waliomshawishi mamaake ni yeye mangeAliingia miss tz akiwa na miaka 16...
Ila alidanganya ana miaka 18 ili aweze kushiriki..
Mh jamaniWema amezaliwa 85 au 86. Nimesoma nae vidudu mwaka 91 kwa ticha( ...jina kapuni). Mimi nimezaliwa 85 May.
Natania please. Wema ana 22Mh jamani
Mh jokate tenaUmri wa Wema na Jokate ni sawa,wote ni 1987! Kama anabisha aje inbox
supastaa supastaaa supastaaa wa booongoo supastaaa supastaaa [emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
Asante watu wanamuandama sana huyu dadaAcha uongo. Wema ni dogo tumemkuza wenyewe Sinza. Kazaliwa 90.
Umeme mmejadili miaka nenda rudi tangu enzi za sakata la Richmond mpk leo hakuna suluhisho. Bora tujadili umri wa mtu atakuja kutipatia majibuKwahiyo hii thd inajadili umri wa mtu? Au mimi ndio sijaelewa? Mkisha jua umri wake itasaidia nini? Umeme utawaka?
🤣🤣🤣Umeme mmejadili miaka nenda rudi tangu enzi za sakata la Richmond mpk leo hakuna suluhisho. Bora tujadili umri wa mtu atakuja kutipatia majibu
Hawajui kuwa umri is unkwepekable,ukienda umeendaMasupastaa wa bongo huwa hawazeeki/wanakwepa kuonekana wamezeeka kiumri [emoji2377][emoji2377][emoji2377]