Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho cheti kimetolewa lini?Ametoa cheti chake cha kuzaliwa ni kimeandikwa kazaliwa 1990 sasa tumuamini nani Wema au Wikipedia?
🤣🤣🤣 miaka ya bongo movie huwa haisogei mbele inarudigi nyuma tuHicho cheti kimetolewa lini?
sie Kamati ya Wanoko huwa tunaangalia tarehe y kusajiliwa cheti kujua kimechakachuliwa or not
YeS,Hiv ndiyo SahihiUmri wa Wema na Jokate ni sawa,wote ni 1987! Kama anabisha aje inbox
mwaka wao una miezi 18[emoji1787][emoji1787][emoji1787] miaka ya bongo movie huwa haisogei mbele inarudigi nyuma tu
Tutashukuru sana mkuu ukileta ushahidiAna miaka 38 me namjua vizuri akibisha naleta ushahidi
Utakuwa na minyama imelegea una kazi ya kuyavalia mikanda ya kubana tumbo ili kuisapoti.
Yaani Wikipedia ndio ushahidi?Juzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.
View attachment 2768144
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema kuwa na miaka 35. Na hii inaleta mantiki ya kwamba alipokuwa anashiriki Miss Tanzania 2006 alikuwa na miaka 18.
View attachment 2768866
Mwenyewe wizo nimeshangaa Wema anatwaa taji la Miss Tz niko baby class ila now tuko same age 🤣🤣🤣🤣Hili LIBIBI la kuitwa WEMA tangu niko vidudu naliona kwenye TV, lakini nimekua mpaka nimeolewa jamani haki ya mungu huwezi amini tunalingana nae umri sasa hivi.
Mimi nilikuwa vidudu enzi hizo namuona, leo wote tuna miaka SELASINI
Lamomy
🤣🤣🤣🙌🙌
Asante kwa maoni yako.Utakuwa na minyama imelegea una kazi ya kuyavalia mikanda ya kubana tumbo ili kuisapoti.
Na matiti yananing'inia kama mapapai hadi yanachana sindiria.