Wema Sepetu "Madame" Fans' Special Thread, Njooni tukutane hapa

hivi kaigiza moovieee gani mwaka huu. ujue anaigizaka vizuri sema domo kachukua nyota yake
 

Ni kweli
 
Nampenda wemaaaa , alivyoachana na ndomo ndomo ndo nimependaa zaidi

hapo kwenye kumpenda wema tupo wote binamu lakini hapo kwenye kuachana na dai pita hivi, mi nipite vile sitakii kabisaaa waachane.
 
Aaaah aaaaah binamu mimi na wewe miaka miaaa, wema nampenda tu anavyoongea ni mzur kwa kwel, ndomo akae pemben tu atulie akina mkongo wajilie vyao

hahahahaaa maneno kuntu warumi toa yako ya moyoni mwaya, hata dina akinuna untajua jinsi ya kumtuliza.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…