Wema Sepetu, mimba imetoka tena?

Tatizo lake ni kufanya kila kitu kwenye maisha yake public... huyu dada yeye hana maisha private kila kitu ni kuweka insta..
Wadau wakianza kumtukana analalamika wakati kayataka mwenyewe..

Angalia watu kama jokate hana mtoto lakini hakuna anaemuandama kwa sababu kaweka mipaka ya maisha ya insta na maisha binafsi..

Asipojifunza huyu wema atakuja kufa kwa depression
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…