Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Sio kwa corset ile jamani.Hahaaaa!wema acha uongo bwana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwa corset ile jamani.Hahaaaa!wema acha uongo bwana!
Ila hatuna ushahidi kama alitowa.Enzi anachoropoa tulionekana vibibi na tulitukanwa kwa kuzaa mapema tunabeba wanetu saiv yeye anakomaa na midoli na kulea mbwa na uzee juu
Pole yake
Maskini.Angejua asingesema.Watu hamsahau[emoji23]Alishakiri kutoa mimba huko nyuma
Sijasema kuzaa ni kupata lkn huyu mtu wako huyu ni funzo kwa watoto wa kike wote wanaoflash watoto vyooni
Attention seeker!Huwa ni ugonjwa kabisa.Hv mbn n yy tu anahaha kila
Saa mbn mwenzie jide katulia
Utadhan amezaa yy yote
Kwamwachia aliemuumba
Huyu kifaranga mbn anahangaika
Kama alitolewa kizaz
Umeonaa eeeeehhh!mimba hyo ya wapi sasa?!!!au ndo kick...mSio kwa corset ile jamani.
Huwa anapenda kuonewa hurumaUmeonaa eeeeehhh!mimba hyo ya wapi sasa?!!!au ndo kick...m
Sasa hivi watu wanampotezea na wanamjua drama queenHuwa anapenda kuonewa huruma
teh..teh... tukiwa shule kingereza ni muhimu kwa kuwa kinasaidia kujibu mtihani sasa issue ni kufanya tafsiri ya elimu ifanane na shule au cheti ulichonacho ndo hapo inapokuwa shida.Mi si ninasikia wema alisoma internation schools ndio maana kingereza kinapanda sana
Umesema ukweli kabisaTatizo lake ni kufanya kila kitu kwenye maisha yake public... huyu dada yeye hana maisha private kila kitu ni kuweka insta..
Wadau wakianza kumtukana analalamika wakati kayataka mwenyewe..
Angalia watu kama jokate hana mtoto lakini hakuna anaemuandama kwa sababu kaweka mipaka ya maisha ya insta na maisha binafsi..
Asipojifunza huyu wema atakuja kufa kwa depression
Watanzania tuache unafiki mtu kama Tunda anavyozichoropoa hizo mimba mmepiga kimya na kumsifia,siku anakuja kutamani kupata mtt inakuwa ngumu raia wakimsema kwa alichokuwa anafanya mnaanza kusema ohh usihukumu ww sio Mungu,kama huyo Wema mimba zake alie chips enzi hizo leo akiambiwa Ukweli eti usihukumuUsihukumu, kuzaa sio kupata.
Nawaombea wote watafutao watoto wakajaaliwe nao waweze kupata haijalishi ni sababu gani imesababisha wao kutozaa.
Usisahau tu kuwa Mungu sio mwanadam, 1+1=sio 2 kwake. Akiomba Mungu anamskia kama anavyokuskia wewe. Hivyo pamoja na mapungufu yake anaweza kujibiwa sala zake vilevileAcha sympathy za kishamba ww Mungu hazihakiwi kiivyo yeye kaumba ukipata mimba zaa nasio kuua Mambo ya uzaz siyo ya kuyachukulia poa ni bora ungesema kwa mtu ambaye hazai naturally wew
Anatakiwa ajiue who's care labda wazazi wake,anatafuta huruma za wananchi ila wakati anazichoropoa naamini kuna waliomuonya ila alidharaupole sana Wema!
wakati mwingine anahitaji faraja yenu kwa yanayomtokea hivyo si busara sana kumsukuma anapowalilia mshaurini nini cha kufanya hali yake ni mbaya anaweza kujiua kwa maumivu ya ndani asipopata msaada wa karibu.
do! we noma ingekuwa umungu unazamu zamu yako tungekoma!Anatakiwa ajiue who's care labda wazazi wake,anatafuta huruma za wananchi ila wakati anazichoropoa naamini kuna waliomuonya ila alidharau
Hamna mkuu,wanajitoa ufahamu tuu hata huko shule huwa wanaelezwa kbs kutoa mimba ni kurisk coz mimba inaweza kuchomoka na kizazi ila hawaelewi wacha wapambane na halido! we noma ingekuwa umungu unazamu zamu yako tungekoma!
ukweli hili swala linanikera kwelikweli sijui hata huruma naitoa wapi siku hizi nafikiri utu uzima tena nimeanza kubadilikaHamna mkuu,wanajitoa ufahamu tuu hata huko shule huwa wanaelezwa kbs kutoa mimba ni kurisk coz mimba inaweza kuchomoka na kizazi ila hawaelewi wacha wapambane na hali
Alijisema na clip zipo youtubeIla hatuna ushahidi kama alitowa.
Tupo kwa ajili hiyo ya kuwakumbusha hawa vioo vya jamiiMaskini.Angejua asingesema.Watu hamsahau[emoji23]