Wema Sepetu, mimba imetoka tena?

Wema Sepetu, mimba imetoka tena?

Usihukumu, kuzaa sio kupata.

Nawaombea wote watafutao watoto wakajaaliwe nao waweze kupata haijalishi ni sababu gani imesababisha wao kutozaa.
Acha sympathy za kishamba ww Mungu hazihakiwi kiivyo yeye kaumba ukipata mimba zaa nasio kuua Mambo ya uzaz siyo ya kuyachukulia poa ni bora ungesema kwa mtu ambaye hazai naturally wew
 
Acha sympathy za kishamba ww Mungu hazihakiwi kiivyo yeye kaumba ukipata mimba zaa nasio kuua Mambo ya uzaz siyo ya kuyachukulia poa ni bora ungesema kwa mtu ambaye hazai naturally wew
Kwa mtu ambae amezaliwa na ugumba namuombea kwa moyo wote ajaaliwe kupata mtoto
lkn huyu mama wa marehemu anaejisema kabisa nilitoa sababu niliogopa kupoteza mvuto wangu
 
Acha sympathy za kishamba ww Mungu hazihakiwi kiivyo yeye kaumba ukipata mimba zaa nasio kuua Mambo ya uzaz siyo ya kuyachukulia poa ni bora ungesema kwa mtu ambaye hazai naturally wew
Sawa nina sympathy za kishamba wewe una za kijanja.
 
Yap ni sawa nakusema etii upuuzi alofanya nandy eti tuanze kumuonea huruma eti this is bullshit
Utavuna ulichopanda nasisi kusema lazima huwez sema tunahukumu
Asanteee
 
Mshangae na wewe kila siku kutupigia kelele wakati alithamini anasa kuliko mtoto leo yako wapi!!!
ujana maji ya moto sasa ujana umeisha (maji yamepoa) anaanza kutusumbua akafie mbele na hii iwe funzo Kwa wasichana wote
 
Back
Top Bottom