Wema Sepetu, mimba imetoka tena?

Wema Sepetu, mimba imetoka tena?

Huyu sasa anahitaji aje kwangu mipige misumari. Mbegu zangu hufuata yai popote lilipo.

Ndio kusema Umeshafail kabla ya kuanza, au ni shida ya kuelewa? Yeye hana Shida ya Mbegu, shida ni Mimba haikai
 
Ustaaa kazi na hili mpaka uliseme nalo!haya bwana
 
Tatizo lake ni kufanya kila kitu kwenye maisha yake public... huyu dada yeye hana maisha private kila kitu ni kuweka insta..
Wadau wakianza kumtukana analalamika wakati kayataka mwenyewe..

Angalia watu kama jokate hana mtoto lakini hakuna anaemuandama kwa sababu kaweka mipaka ya maisha ya insta na maisha binafsi..

Asipojifunza huyu wema atakuja kufa kwa depression
tatizo shule!
 
pole sana Wema!
wakati mwingine anahitaji faraja yenu kwa yanayomtokea hivyo si busara sana kumsukuma anapowalilia mshaurini nini cha kufanya hali yake ni mbaya anaweza kujiua kwa maumivu ya ndani asipopata msaada wa karibu.
 
Tatizo lake ni kufanya kila kitu kwenye maisha yake public... huyu dada yeye hana maisha private kila kitu ni kuweka insta..
Wadau wakianza kumtukana analalamika wakati kayataka mwenyewe..

Angalia watu kama jokate hana mtoto lakini hakuna anaemuandama kwa sababu kaweka mipaka ya maisha ya insta na maisha binafsi..

Asipojifunza huyu wema atakuja kufa kwa depression
Jokate anazijua lecture rooms wakati huyu anazingua saloon na bed rooms tu.
 
Tatizo lake ni kufanya kila kitu kwenye maisha yake public... huyu dada yeye hana maisha private kila kitu ni kuweka insta..
Wadau wakianza kumtukana analalamika wakati kayataka mwenyewe..

Angalia watu kama jokate hana mtoto lakini hakuna anaemuandama kwa sababu kaweka mipaka ya maisha ya insta na maisha binafsi..

Asipojifunza huyu wema atakuja kufa kwa depression
Kuna watu hata wakijamba tu,wanataka na watu wengine wajue.Ni hulka tu nafikiri.
 
Back
Top Bottom