Wema Sepetu, mimba imetoka tena?

Wema Sepetu, mimba imetoka tena?

Yupo mtu mmoja aliniambia huyo demu hawezi pata mtoto na hilo analijua maana alilifanya yeye kwaajili ya kupata umaarufu. Sikutia neno ila ya Kaisari nilimuachia na ya Mungu nikamuachia Mungu.
 
Hamna mkuu,wanajitoa ufahamu tuu hata huko shule huwa wanaelezwa kbs kutoa mimba ni kurisk coz mimba inaweza kuchomoka na kizazi ila hawaelewi wacha wapambane na hali
Kuna kibinti, mimba imechomoka na kizazi then roho imefata.... Apumzike kwa amani
 
Enzi anachoropoa tulionekana vibibi na tulitukanwa kwa kuzaa mapema tunabeba wanetu saiv yeye anakomaa na midoli na kulea mbwa na uzee juu

Pole yake
Kwa kweli my dear. Ila yote ni kwa neema tuu tunashukuru Mungu kwa kutujalia watoto
 
Mshangae na wewe kila siku kutupigia kelele wakati alithamini anasa kuliko mtoto leo yako wapi!!!
Zari ana watoto wa5 na ni mrembo kumshinda yy ndo kwanza anazidi kuwa kama biringanya
 
Enzi anachoropoa tulionekana vibibi na tulitukanwa kwa kuzaa mapema tunabeba wanetu saiv yeye anakomaa na midoli na kulea mbwa na uzee juu

Pole yake
Unamaneno makali [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Rudini tena mkasome iyo katuni kwa uzuri zaidi muelewe.
Ama ndio akili fupi?
 
daaaaaaadaah weee!
umenikumbusha,nilipataga mimba nikiwa form 4 !
kila mtu was like,heee kwani si ungesema mapema!
sa hizi binti yangu anafanya mtihani wa kidato cha sita next week.

Enzi anachoropoa tulionekana vibibi na tulitukanwa kwa kuzaa mapema tunabeba wanetu saiv yeye anakomaa na midoli na kulea mbwa na uzee juu

Pole yake
 
Back
Top Bottom