victormztz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,111
- 614
Declare your "serious doubt" comrade.I have serious doubts if anything will come out of this.
ndyo kwanza wametajwa leo tuliza mizukaAmewaja Kwa majina? Na kama kweli amewachikilia hatua gani?
Ila huyu kabyser si nilisikiaga kaachaHapo namuhurumia Kabyser tu
Declare your "serious doubt" comrade.
Mbona makonda kavaa sweta na joto lote hili la dar??
Kabla ya kusubuiria ku win kwake, anaonekana keshaanza kwa kufeli, mkuu wa ulinzi na usalama wa mkoa, anaanzaje kuwataja watuhumiwa kwa majina ya kihuni huni! Tena wengine ni waajiriwa wa serekali!Mgombea ubunge wema yumo daaah kweli huyu nae eti alikua anataka awakilishe watu kupitia viti maalum! Daahh nakupenda burr makonda kuanzia Leo! Ukiwin hili utaandikwa ktk vitabu vya historian ya nchi hii watoto wetu wake wakusome habari zako
akikamatwa mtu wa pili akiaambia amtaje mtu wa kwanza unakuta anamtaja bosi wa maconder..... na hapo ndo mwisho wa movieHuo ndio mnyororo tunataka, hata akiwa anapata kwa mtu wa nne, akionyeshwa kazi huyo mtu wa nne atataja mtu wa tatu, akionyeshwa kazi mtu wa tatu atataja mtu wa pili kwa vyovyote vile.. Katika hili lazima ukatili wa hali ya juu utumike kama itakavyohitajika!
Kule Uphilipino kazi ya kumaliza madawa hayo karibu wanaihitimisha hivi karibuniView attachment 466457
Akitoa taarifa katika kipindi cha infomer cha clouds FM kufuatia msako wa kukamata wahusika wa madawa ya kulevya alichofanya mkuu wa mkoa Paul makonda.
Askari 9 wamekamatwa wakishirikia na wauza madawa ya kulevya Huku wasanii watumiaji wa madawa hayo wakitajwa na kutakiwa kuripoti polisi wenyewe mapema ,
wasanii waliotajwa na kutakiwa kuripoti polisi ni
1. Wema sepetu
2. Petiman wakuache
3. TID
4. Mr. Blue
5. Recho(kizunguzungu)
SOURCE; Clouds FM (Informer)
NB: Suala la Dawa za Kulevya limikuwa likizungumziwa na kupewa kipaombele kwa muda mrefu hapa JamiiForums. Kwa taarifa zaidi tembelea mada hii, kupata orodha ya mada nyingine nyingi zinazojadili suala hili - Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!
Kwani wewe unafikiria wauzaji serekali haiwajui!? Tatizo wananguvu sana, yaani hawakamatiki.Hii vita ya madawa ya kulevya sio vita ndogo ,mataifa mengi makubwa bado wanahangaika nayo mpaka leo,hivyo hatua anazochukua Mh Makonda sio za kubeza hata kidogo.hatuna budi kumuunga mkono kwa kutoa ushirikiano kwani wasambazaji wamo humu humu mitaani kwetu na wanajulikana kabisa.