Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

kuna rais alisema majina anayo na atawashughulikia mpaka ana staafu hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa seuse yeye RC tu
 
Mbona makonda anapata shida wakati kuwakamata wauza unga ni rahisi sana??

Kwanini asimkamate chid Benz amwambie nani alikuwa anamuuzia unga?..hapo atapata msururu mzima hadi kumfikia boss kabisa!
Kama wanavyofanya wamarekani vile
 
c371c95d10ac28d099c49af3f76a1ea3.jpg
 
Kwani wewe unafikiria wauzaji serekali haiwajui!? Tatizo wananguvu sana, yaani hawakamatiki.
Na kama huamini muulize kikwete.
Yeye alikuwa na list nzima ya wauzaji lakini aliishia kusema tu! Wakamfunga mdomo hata kuiweka hadharani tu iliimshinda"

Hushangai huyu aliewataja kwa nn awataje vidagaa tena kwa majina feki!?
Ndiomana nilianza kwa kukili kuwa vita yenyewe sio ndogo,inahitaji nguvu kubwa zikiwemo risk nyingi.pia niliwalenga wasambazaji ambao hawa wamo mitaani kwetu ndio wakuanza nao.lkn kwa hawa wamiliki wa hizi biashara ni ngumu sana kuwatia hatiani kwani wana chain ndefu sana,ndiomana mipaka ya nchi kwanza iimarishwe ili kuzuia yasiingie nchini.
 
Mbona makonda anapata shida wakati kuwakamata wauza unga ni rahisi sana??

Kwanini asimkamate chid Benz amwambie nani alikuwa anamuuzia unga?..hapo atapata msururu mzima hadi kumfikia boss kabisa!
Nafikiri chid tayari yupo kwenye orodha ya wanaoitwa polisi labda kwa kusaidia polisi
 
Uyu jamaa nilikua namheshimu asee na kama ni kweli,ntamuona boya!.watu wake wa karibu mwambieni.
Kama ni rafiki wa kubeba mikoba ya wema sepetu ambae nae ni muhusika huna sababu ya kushangaa mkuu, mtu anaishi mjini bila kazi ya kueleweka lakini maisha yake super kuliko hata mfanyakazi wa taasisi ya uma kwa nini ushangae kuwa punda?
 
Back
Top Bottom