Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

"Mla poda na mla nyasi yupi ni a.k.a Mnyama!!!"
 
Sijui wakimuweka wema sepetu ndani na ile surprise anayotaka kutupa itaishia wap (nawaza kwa sauti)
 
Halafu tunataka mkuu wa mkoa wa Arusha afanye uchunguzi atuambie ndege iliyo beba shehena ya madawa y a kulevya na kushindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA na kuelekezwa kwenda kutua Arusha mzingo ulikuwa wa nani
 
Daaaaa namuona makonda yuleeeee anaenda kumsabahi amina wa chifupaaa....vita nzuri ila hata marekani kashindwa kaamua kujenga ukuta...
Hawana nguvu hiyo...Amina maradhi na hata mume wake
 
Wanahangaika na watu WA mwisho kabsa wakat Wana uwezo WA kuwapata wahusika wakuu. Me naona wanawaogopa tu hao wakubwa ndo mana wanakomaa na vidagaa mapapa yanapeta tu.
 
Hivi hawa mawingu wenyewe si ndio waliokuwa wanawabebesha mzigo kina Mangwea ?
 
Mwigulu pamoja na kutembea na bendera ya taifa ameshindwa kuonesha uzalendo wake katika kupambana na hili janga..angalau hata Makonda ameweza kutaja badhi!

Kweli uzalendo sio kutembea na bendera!
Makonda ni kiongozi jasiri sana.....Mungu amlinde sidhani hapa tz kama kuna kiongozi jasiri kumzidi huyu kijana
 
Mwanzo mzuri!!! Mr.Makonda

Usisahau Mapapa pia, vijana wanaangamia kwa Madawa,nguvu ya Taifa inateketea.
Kwa pomaja twaweza kuliangamiza hili janga.

"Vijana ni Taifa la kesho bila kujua kesho inajengwa na leo"
 
Mbona makonda anapata shida wakati kuwakamata wauza unga ni rahisi sana??

Kwanini asimkamate chid Benz amwambie nani alikuwa anamuuzia unga?..hapo atapata msururu mzima hadi kumfikia boss kabisa!
Huwa hawataji wahusika,sijui wanakula viapo vya aina gani..!!
 
Back
Top Bottom