Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

Hapo wangekuwa kin masogange, na Muna love pia jamaniiii.
 
Hana jipya huyo anataka tu kutusahaulisha matokeo ya kidato cha nne ambapo mkoa wake umepandwa na mikoa yote sasa anatubadilishia topic ili tusiliongee hilo,
 
Wanaopiga vita madawa ndio wanaouza Madawa.

Hapo wamekamata dagaa wauza madawa wakubwa ndani ya nchi wanajulikana waache janja janja
 
Watanzania wanafiki Sana, hawana dogo, ndiyo maana hii nchi haiendelei pamoja Na rasilimari zake zote kuliko nchi yoyote, coz Watanzania wana tabia tofauti kuliko watu wa nchi yoyote duniani!
 
Nimekaa natafakari UHAI wa "lais wa dalesalama" ulivyo mashakani kwa hiki kitu alichoamua kudili nacho.
Hao watamfanya nini Mh Makonda zaidi ya kumbilia Msumbiji na SA
 
Sijapenda njia ilo tumika inawachafua...
Unaweza kuaita kwa siri kuwahoji...kukiwa na ushahidi ndio utangaze...kwa njia hii kama hakuna ushahidi basi hii ji kesi ya kuchafuana na madai
 
Back
Top Bottom