Wema Sepetu usizae kiholela wala nini. Bibi kizee anataka kukuponza

Wema Sepetu usizae kiholela wala nini. Bibi kizee anataka kukuponza

Watoto wenu 12 yrs wana vibwana, afu Wema 27 ndo asi date nani kasemaaaa? Mnacha kukomesha wabemendaji mnakalia vitu amabavyo nyie mnafanyaaa, mimi pia nafanya, dada zenu wana fanya. Tuache unafki NANI ASIE DATE HUMU? Au mdate nyie tu, akidate Wema issue.
kwa hiyo lara 1 mi sijakuelewa vyema,inamaana unamuhalalishia wema kuendelea kuzini kila leo na kila aina ya bwana lakini tu unamuharamishia kuzaa kabla ya ndoa?maana naona unatoa justification ya kwamba mbona wengine wanadate icjekuwa wema?sasa mbona wengine wanazaa nje ya ndoa pia icjekuwa wema?
dhambi ambayo wema ameikiri kuifanya(kutoa mimba)ni kubwa(ameua kisicho na hatia) kuliko angezaa nje ya ndoa
 
Unamaneno we dogolasi ni hatareee,am enjoying this show down,eventually you will emerge the winner as usual. they cant you.
mkuu BOB LUSE una agenda gani huko pm na huyu mleta uzi?naona unampigia promo kana kwamba kuna kitu unadoea toka kwake...nawaza!
 
Si wanasema dai hawezi kuzalisha na tiffa sio mwanae kumbe wema alishika mimba kwa dai yani team wema wanajimix hadi huruma
Kichapo alipewa na nanii hii nilipitwa nitonye tafadhali
Mbonaaa dai alishasema kuwa wema amewah toa mimba yake, aibuu yakee hiii
 
bila shaka alieleta hii thread ni wa kike hakuna cha maana ulichozungumza nikajua utamshauri wema ajipange na mwanaume wake aolewe unaleta habari za wema kutokuzaa...pumbafuuuuuuuu wema aolewe na azae
muoe wewe umzalishe basi tujue kama yaliyopo yamooo.
 
Mbonaaa dai alishasema kuwa wema amewah toa mimba yake, aibuu yakee hiii

Huyooo Dai, Wema, Penny, Jokate WOOTE WAMETOA MIMBA ZAKE? HAHAHAAAAAAAAAAAA! Katunzi tu ndo kamgea mtoto! Nyokolostiiiiiiiiiii!
 
Uswahili ni kitu cha kujivunia ndio asili yetu,hata wewe ni mswahili tu, kuzaa kama kuku ni jadi yetu,
HAAHAHHAAAAAAAAAAAAAAA! Nitue mimi ni MRUMI WA CATHOLIC, ndugu yangu Pope. Jadi zenu na mambo yenu ya ki barberian nimewaachia na miungu yenu ya giza. Nimeacha asili na kuwa mtu wa mapokeo na nimempokea Mungu wa Kiyahudi, MUNGU WA IBRAHIM, MUNGU WA ISAKA, MUNGU WA YAKOBO, MUNGU WA ELIA, MUNGU WA KWELI, ALFA NA OMEGA! HALELLUYAAAAAAA!
 
Nilistaafu umbea ila lara 1 umenifurahisha sana. Maana unapomnyooshea mwenzako kidole uhakikishe vyako ni visafi.
Wema usizae kwakuwa wanakustress subiri uzae kwa wakati.
Former mrembo by bnature
Teh Teh Binti Magufuli ulipotelea wapi? Mbona umebadili username? Nilimmiss Mrembo by nature kumbe una cheki tuu...
 
Nilistaafu umbea ila lara 1 umenifurahisha sana. Maana unapomnyooshea mwenzako kidole uhakikishe vyako ni visafi.
Wema usizae kwakuwa wanakustress subiri uzae kwa wakati.
Former mrembo by bnature

Tunakutagi weeeeeee huji bana ebu tupe maumbea ya mjiniii bana
 
Si tamani, manake mimi ni mutu wa Mungu, na NAJUA MUNGU NI MWEMA, KAMA KAMPANGIA MJA WAKE KUOLEWA ATAOLEWAAAA TU. KAOLEWA KIM KARDASHIAN NDOA 3 ITAKUWA WEMA? KAOLEWA AMBER ROSE, ITAKUWA WEMA? ALICHOKIPANGA MUNGU BINADAMU HAWEZI KUKITENGUA. Wewe binadamu tu kesho huna uhakika ya kufika so maneno yako hata kwenye khanga yapo
lara 1 , hisia ninazopata hapa lengo lako wala sio kumshauri Wema bali unachofanya ni kununua bifu dhidi ya Zari kisha lihamie kwa Linda! Hizi zitakuwa ni habari njema kwa dadangu Mange manake yupo kimya kidogo-- hata blog yake sijui kama anai-update siku hizi!!!!
 
Huyooo Dai, Wema, Penny, Jokate WOOTE WAMETOA MIMBA ZAKE? HAHAHAAAAAAAAAAAA! Katunzi tu ndo kamgea mtoto! Nyokolostiiiiiiiiiii!
Ukweliiiii unaumaaaaaa ila now anahangaika sababu ya aliyoyafanya nyumaaa na hiv umri ndyo unaenda basi tenaaaa....
Hapa hata ukitetea, unatetea ujinga ila moyoni unakubali ukwel
 
Nilistaafu umbea ila lara 1 umenifurahisha sana. Maana unapomnyooshea mwenzako kidole uhakikishe vyako ni visafi.
Wema usizae kwakuwa wanakustress subiri uzae kwa wakati.
Former mrembo by bnature
Usistaafu umbea bana, you are missed...
 
Mungu ni mwema, tena aemsema NAYAJUA MAWAZO NI KUWAZIAYOOO, NI MEMA NA YA KUPENDEZAA. Pia akaenda mbele zaidi sitaki umbea nanukuu.

Psalm 34:4
I sought the LORD, and he answered me; he delivered me from all my fears.

Psalm 37:4
Take delight in the LORD, and he will give you the desires of your heart.

Jeremiah 29:13
You will seek me and find me when you seek me with all your heart.

John 16:23
In that day you will no longer ask me anything. Very truly I tell you, my Father will give you whatever you ask in my name

James 1:5
If any of you lacks wisdom, you should ask God, who gives generously to all without finding fault, and it will be given to you.

1 John 5:14
This is the confidence we have in approaching God: that if we ask anything according to his will, he hears us.

WOGA WAKO UMASIKINI WAKO.
 
Ukweliiiii unaumaaaaaa ila now anahangaika sababu ya aliyoyafanya nyumaaa na hiv umri ndyo unaenda basi tenaaaa....
Hapa hata ukitetea, unatetea ujinga ila moyoni unakubali ukwel

Kumbe ukweli una MENOOO eeeehhhh? Hahahaaaaaaaaaaaaaa! Ukweli wenu wa wanawake malafaaaa, mimi jembe wewe! WEMA HAZAI NGOOOO MPAKA AOLEWE
 
lara 1 , hisia ninazopata hapa lengo lako wala sio kumshauri Wema bali unachofanya ni kununua bifu dhidi ya Zari kisha lihamie kwa Linda! Hizi zitakuwa ni habari njema kwa dadangu Mange manake yupo kimya kidogo-- hata blog yake sijui kama anai-update siku hizi!!!!

Hahahaaaaaaaaaa! Linda kichuna wa kizaramo nitamuweza vipi? Mi Linda nampenda sanaaa tu. Basi tu unataka kutuchonganisha. Afu bifu na zari la nini, mtu mzima yule namuheshimuu si kidogo hata kama ndo hivo tenaaa anachunguliwa na watoto. Ndo keshaamua.
 
Back
Top Bottom