Wanajamvi yapata kama Wiki mbili na sehemu sasa tangu nilivyoleta uzi wangu kuwataka kinadada waache kumsumbua Mungu kwa matatizo yao ya kujitakia.
mara baada ya uzi huo akaja Lara 1 a. k. a kubwa la maadui, jeshi la mtu mmoja, akanichamba ile mbaya, hakuishia hapo tu akaenda mbali zaidi kwa kumtukana hadi mama yangu,
Cha ajabu Wiki jana Lara 1 amerudi na kukaa upande wangu, anaunga mkono kile Nilichokuwa nawaasa mabinti, akimshauri wema ktk uzi wake Lara 1 anasisitiza kwa wema ajitunze hadi aolewe, asipagawishwe na kibibi kama zari aliyezaa na Diamond, anamsisitizia kuwa kuzaa bila ya kuwa kwenye ndoa ni nuksi, Lara 1 aliruka mkojo akakanyaga mavi, kiko wapi? punguza domo bibie ukweli hubaki kuwa kweli, umeingia kwenye 18 zangu kiulainiiiiii........!