Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii thread itawadisapoint wengi sana...
Yaani acha tu...Title inakuita kuifungua, ukisoma maudhui yake sasa!
WAZIRI ANASWA KOFI
mkazi wa mbagala waziri ali amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kauli na jirani yake.
Hahahaahahha kazi kweli kweliWanajamvi yapata kama Wiki mbili na sehemu sasa tangu nilivyoleta uzi wangu kuwataka kinadada waache kumsumbua Mungu kwa matatizo yao ya kujitakia.
mara baada ya uzi huo akaja Lara 1 a. k. a kubwa la maadui, jeshi la mtu mmoja, akanichamba ile mbaya, hakuishia hapo tu akaenda mbali zaidi kwa kumtukana hadi mama yangu,
Cha ajabu Wiki jana Lara 1 amerudi na kukaa upande wangu, anaunga mkono kile Nilichokuwa nawaasa mabinti, akimshauri wema ktk uzi wake Lara 1 anasisitiza kwa wema ajitunze hadi aolewe, asipagawishwe na kibibi kama zari aliyezaa na Diamond, anamsisitizia kuwa kuzaa bila ya kuwa kwenye ndoa ni nuksi, Lara 1 aliruka mkojo akakanyaga mavi, kiko wapi? punguza domo bibie ukweli hubaki kuwa kweli, umeingia kwenye 18 zangu kiulainiiiiii........!
Yaah headline na khabari yenyewe tofauti watu tukajua jamaa kashinda game kumbe!Ha ha ha anampa credit huyo lala bora kama vipi angekaa kimya tu..
Btw lara1 is more of fun na enjoy mambo zake!