Wema Sepetu usizae kiholela wala nini. Bibi kizee anataka kukuponza

Wema Sepetu usizae kiholela wala nini. Bibi kizee anataka kukuponza

Huu uzi ka gazeti pendwa.... title kuubwa ndani ushuz tu. Afu kama sio unatafuta kiki labda unamzimia lara1
 
Kutombwa hovyo sawa, ila kuzaa ndio dhambi! Makubwa haya.
 
Akatoe haraka sanaaaaa. Awaache waswazi washindane kuzaaaaa. Yeye mtoto wa balozi bwanaaaa, she should have morals, AZAE ATAKAPO OLEWA KAMA DINI YAKE YA KIISLAMU INAVOAGIZAAAA.



Hapo ndipo ulipoharibu sasa. Yaani akafajye mauaji kisa kumaintain status!!!!???.. Shame on you black widow:evil:
 
Binafsi simshauri wema wala any gal kuzaa tu b4 ndoa,mie ni mhanga wa hayo and nitakaposettle ntaileta a true story ya maisha yangu.inasikitisha ila zaidi inafunza for that matter.wanasema we learn the hard way.Nachoshukuru Mungu nimepata kababy boy kangu kananifariji,sometimes nakuwa na huzuni ila nikimtazama ananitabasamia basi huzuni yote huyeyuka.Na nimeahidi kutumia resources zangu zote ikiwemo time and money to make sure namlea huyu little man wangu into someone ulimwengu utanufaika naye siku moja.

Tunaisubiria hiyo true story kwa hamu. Sasa usije ukaleta uswahilini kama wa Lara 1 wa kutumegea megea stori halafu inakuja kuishia katikati.
 
hahhaahaha jamani uwiiiii..kwa hy kumbe huyo wema hana mimba?yeye na timu yake wanadanganya?
 
Ona unavyozidi kuchemka,

Unayemtetea anataka DNA ya ex inamuhusu nini, si akaombe za watoto wa babu aliyomlewesha kwa kumdanganya apewe za wanae.

anaumia kajaa wivu hata muandike nini, Chibu ni Mume wa Zari. Kashamdaka ni wake wanalea sasa. Ni mwendo wa wengi nyie kuongezewa ndimu tu hadi mpasuke vichwa.

Hakuna lingine zaidi ya wivu sababu yao yanaendelea na bado...kaangalie kideo cha Nasema Nawe... kile cha baba Tiifah na Utanipenda uburudike usikilize Baba Tiffah kajiitaje kwa Mama Tee ...umemuonaje na Wolper katoka bombaaaa ati?

Usisahau kutayarisha kiwalo cha ZAWP 2016.
wivu utawaua watu looh...zarina na dangote waleeeeeee
 
Kwa nyie wswazi 20 tu sio mtoto, na kuzaa ovyo ndo fahari yenu so kusema haya sikushangai. ILA WEMA MTOTO WA BALOZI BWANA, USHUANI UNAZAA ONLY WHEN YOU ARE MARRIED, AND READY NA UNA MAISHA YA KUMPA HUYO MTOTO.
kuanzia miaka 18 ni mtu mzima ndo maana anaruhusiwa hata kupiga kura
 
k
HAHAHAAAAAAAAAA! You want to bring her to your level and beat her with experience. Mnataka nae azae hovyooo, ili mfurahie awe sawa na nyie? HAZAI MTU PALE.

Boss lady ni faraja ya ma BABY MAMA na divorced ladies, hio liko wazi, coz anawa inspire mtapata vitoto vya kubemenda kama D. HAHAHAAAAAAAAAAA!

Hata jikorogue vipi bado kigori bado HAJAZAAAAAAAAA huwezi mfananisha na mzazi.
kazi unayo
 
hihihih
Kweli mwalimu wetu kipofu, wema tunaona akililia mtoto hapa anaambiwa asizae.

Boss lady anawatesa mademu wa zamani, pamoja na kuzaa mara nne hata kama zipo zilizotoka huwezi mlinganisha na sepetunga.

Tena amshukuru platinumz aliyempa pesa ya kwenda kurepea ule mkorogo angeshaoza. Hata checkup tuone kama ataenda tena, pfuuuuuuu.
ihihhihihihihihi watu usingizi hauji kisa zarina hassan
 
We lara 1 si ndo ulikua unawashauri wanawake wazae tu, mwanaume sio ishu!!
 
Hivi vitu mungu yupo pembeni anawaangali mnavyobwabwaja na shetani ndio rafiki yenu mara ohh nina mimba mara ohhh nilitoa mara ohhh usizae subiri ndoa mara aishiki mimba msije mkajutia na kauli zenu neno huumba
 
Binafsi simshauri wema wala any gal kuzaa tu b4 ndoa,mie ni mhanga wa hayo and nitakaposettle ntaileta a true story ya maisha yangu.inasikitisha ila zaidi inafunza for that matter.wanasema we learn the hard way.Nachoshukuru Mungu nimepata kababy boy kangu kananifariji,sometimes nakuwa na huzuni ila nikimtazama ananitabasamia basi huzuni yote huyeyuka.Na nimeahidi kutumia resources zangu zote ikiwemo time and money to make sure namlea huyu little man wangu into someone ulimwengu utanufaika naye siku moja.
Kwa hiyo unataka atoe mimba??
Na hatoi, atazaa.
 
Kama unamshauri asizae mpaka aolewe huna tofauti na mtu anayemwambia afe mgumba. Nani wa kuoa kituko hicho?
 
Back
Top Bottom