Mbona wasiwasi kama wana UKAWA na mandamano.
Kuna siku ulisema unamchukia Wema sasa nikataka niprove kwa comments zako.
Usihofu ila Wasiwasi ndio akili.:A S-eek::A S-eek:
Dinazarde Kuna ka ubuyu insta kule eti bi Dada kaachwa na domo kisa kaamua kuwa na menina na ana kamdada ka kizungu huko ughaibuni na ndo maana huwa haendi nae.Sijui kweli!!?
Tyta hiyo simu ya wema ni inafika milion Kumi??????
Hiyo ni galaxy s4 active bei laki 8 tu tsh
Akomeshweeee kabisa we unadhani domo ughaibuni hana demu thubutuuuu anataka aonje ladha zotee dunianii
Unatumia tecno au huawei?
Ndio kelele yote hiyooo khaaaaa
Ameagiza iphone 6
Kamuagiza nanii??ni shingapi hiyo iphone6??
Hiyo ni galaxy s4 active bei laki 8 tu tsh
Nokia........
Ndio maana nkamwambia hiyo gallaxy yake s4 ina features kuzidi Ascend P7? P7 secondary camera ina 8MP 720dpi HD na Camera ya kawaida ina 13MP na bei yake inaifunika hiyo gallaxy yake,aache dharau asidhanie tecno au huawei wana product za kina mwajuma ndala ndefu peke yao hata brands za ukweli wanazo ni kama Samsung na wao wana brand za kaj.amba nani.
1200$ hata wewe waweza nunua
Wanaomponda wema ni wanaotumia huawei na tecno ngoja nimwambie aongeze na nokia.
juzi ndomo kasema kazi ya moyo ni kusukuma damu, kupenda tunalazimisha tu, pale pale nikapat jibu, maana kusoma najua na picha nikaiona