Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

Sema kipengele Cha (mistake) Kila nilipokua nasoma nkikifikia nlikua natabasamu,umenichekesha Sana mkuu.

By the way.
Kosa huwa tunatenda Mara moja,kaza udondoshe mjengo wa maana itakua kisasi Bora Zaid kwake,achana na ivyo unavyo mdai,chukulia ulidondosha au kuibiwa maisha yaendelee
 
Kama wewe ni mwanaume

1.usije ukajenga kwenye kiwanja cha mke, mama mkwe.

2.usije ukaruhusu mke au mchumba achangie ujenzi kwa hali yoyote, ata akipikia mafundi mlipe.

3.usije ukaruhusu mke aweke chochote ambacho hakihamishiki ndani ya nyumba.

4.usije ukaandika jina la mwanamke kwenye hati ya kiwanja au nyumba.

6.Mtunze sana mama na baba yako maana ndio waliokulea mpaka ukajua maana ya mwanamke.
 
Kama wewe ni mwanaume

1.usije ukajenga kwenye kiwanja cha mke, mama mkwe.

2.usije ukaruhusu mke au mchumba achangie ujenzi kwa hali yoyote, ata akipikia mafundi mlipe.

3.usije ukaruhusu mke aweke chochote ambacho hakihamishiki ndani ya nyumba.

4.usije ukaandika jina la mwanamke kwenye hati ya kiwanja au nyumba.

6.Mtunze sana mama na baba yako maana ndio waliokulea mpaka ukajua maana ya mwanamke.
BIGMAN
 
Kuna akina sisi ambao wazazi walitulea kwa kutuhimiza kuishi na watu vizuri, kuwaheshimu wakubwa, tuwe na huruma.... Yaani kiufupi, watoto watiifu na wanyenyekevu bila mipaka (Nice guys)......


Ulimwengu unatuchapa sana tunapoanza maisha ya kujitegemea kwasababu haohao wazazi hawakutufundisha kuwa hii Dunia haina Huruma na binadamu hubadilika.


Tunajifunza kwa njia ya maumivu kuuelewa uhalisia wa maisha.

Pole sana mkuu, Shukuru Mungu somo limekuingia haswa.
 
Funzo kubwa.

Wanaume msikubali zawadi za viwanja au nyumba,gari toka kwa wakwe zenu sio ufahari mara nyingi hamtaishi kwa amani maana masimango na kupangiwa hiki au kile havitaisha.

Msiruhusu wakwe wawapangie pa kuishi,umeoa ishi unapopenda sio unapopelekwa kwa ofa ya wakwe. Kamseleleko katamu ila kana maidhi mengi

Mkwe yake heshima sio uoga
Kuna watu wanapewa zawadi ya hata nyumba na wanaishi vizuri . NB: kama ndoa haina shida siyo neno sana, lakini mwanamme siku akijifanya kijogoo na kumpiga mke anaweza kujikuta yeye ndiye yuko nje.
 
Funzo kubwa.

Wanaume msikubali zawadi za viwanja au nyumba,gari toka kwa wakwe zenu sio ufahari mara nyingi hamtaishi kwa amani maana masimango na kupangiwa hiki au kile havitaisha.

Msiruhusu wakwe wawapangie pa kuishi,umeoa ishi unapopenda sio unapopelekwa kwa ofa ya wakwe. Kamseleleko katamu ila kana maidhi mengi

Mkwe yake heshima sio uoga
Ahsante. Akili zilkua zimelala nkajua wema utaniletea heshima but sikutafuta kitonga.
 
Mimi ninachoamini ni kwamba sio tu machetani na ibilisi ni wale malaika waliomuasi Mungu akawatupa huku duniani.

Kuna mashetani na maibilisi wengine ni hawa hawa binadamu tunaoishi nao. Unaweza ukamtendea wema tu lakini akaja akakufanyia kitu cha ajabu sana. Pole sana mkuu tumepata funzo poa.
 
Back
Top Bottom