hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
To Yeye una zigo 🥱🥱[emoji848][emoji39]Mara chache sana kubahatika mama mkwe mzuri wengi ni vichomi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
To Yeye una zigo 🥱🥱[emoji848][emoji39]Mara chache sana kubahatika mama mkwe mzuri wengi ni vichomi tu.
NotedKama wewe ni mwanaume
1.usije ukajenga kwenye kiwanja cha mke, mama mkwe.
2.usije ukaruhusu mke au mchumba achangie ujenzi kwa hali yoyote, ata akipikia mafundi mlipe.
3.usije ukaruhusu mke aweke chochote ambacho hakihamishiki ndani ya nyumba.
4.usije ukaandika jina la mwanamke kwenye hati ya kiwanja au nyumba.
6.Mtunze sana mama na baba yako maana ndio waliokulea mpaka ukajua maana ya mwanamke.
[emoji848][emoji22][emoji22]Kuna akina sisi ambao wazazi walitulea kwa kutuhimiza kuishi na watu vizuri, kuwaheshimu wakubwa, tuwe na huruma.... Yaani kiufupi, watoto watiifu na wanyenyekevu bila mipaka (Nice guys)......
Ulimwengu unatuchapa sana tunapoanza maisha ya kujitegemea kwasababu haohao wazazi hawakutufundisha kuwa hii Dunia haina Huruma na binadamu hubadilika.
Tunajifunza kwa njia ya maumivu kuuelewa uhalisia wa maisha.
Pole sana mkuu, Shukuru Mungu somo limekuingia haswa.
[emoji28][emoji28]Kuna watu wanapewa zawadi ya hata nyumba na wanaishi vizuri . NB: kama ndoa haina shida siyo neno sana, lakini mwanamme siku akijifanya kijogoo na kumpiga mke anaweza kujikuta yeye ndiye yuko nje.
Aiseee , mkuu ilete hiyo story haraka tujifunze kakaNmewah kupitia story kama hii ndio maan kuna wakat nikikumbuka nilioyapitia kwa wanawake huwa nasema bora nile nishibe na kulala tu
Ipo siku nitaleta story yangu aliyonifanyia mama mkwe wangu....yaan mm niliacha nyumba yangu na mali zangu mying maana ningeedelea kubak pale kwangu segerea ingenihusu
🤣🙌To Yeye una zigo 🥱🥱[emoji848][emoji39]
Kwani mazoea utaanza kuyakalibisha vipi mpaka wakwe waanze kukwambia unjenge kwenye kiwanja chako? Ukiona wakwe wanakwambia ujenge kwao au kwenye kiwanja chao jua umeonekana dhaifu na hujielewi.Hapa kuna somo kubwa sana mwenye kuelewa na aelewe, kamwe sitokuja ata siku moja nikajenge kwenye kiwanja cha ukweni mana mwisho wake ni aibu na fedhea tu
😆😅😅😅kuna manzi nilimpata ana kiwanja cha urithi aisee tuliachana sababu alikuwa anakomaa sana tujengee kwenye kile kiwanja ila ukimwambia hati tuweke isome majina yetu wawili hataki kusikiaaa... haya mambo inahitaji kutumia akili sana