Wengi hatuifahamu Chato kumbe, tunaponda tu! Makusanyo ya zaidi ya bilioni 40 si mji mchache!

Wengi hatuifahamu Chato kumbe, tunaponda tu! Makusanyo ya zaidi ya bilioni 40 si mji mchache!

hiyo ni kwa 2021/2022, nafikiri ni fedha nyingi sana kwa halmashauri inayoendelea.....wengi nafikiri hatukulifikiria hili.

source: Star Tv (habari saa 2)
Ungetalajia taalifa tofauti na hii?
 
kwa idadi ya wakazi wa chato na hayo mapato yaliyokusanywa ni tofauti.
Usidanganye watu wazima wenye uelewa wetu
 
hiyo ni kwa 2021/2022, nafikiri ni fedha nyingi sana kwa halmashauri inayoendelea.....wengi nafikiri hatukulifikiria hili.

source: Star Tv (habari saa 2)
Crap. Miji mingine wanakusanya kiasi gani? Waulize CRDB juu ya mzunguko wa pesa Chato.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hakuna biashara muda mwingi wanacheza karata, kulala na kupiga gumzo. Kimei alimwambia hakuna biashara ya kujenga ofisi kubwa hivyo akatumia ubabe na udikteta wake.
Kimei akifungua tawi alikiri wazi alipewa shinikizo kujenga na kufungua tawi na mkuu, ili hali taarifa wataalam ilisema bado hapakidhi.
 
Hakuna biashara muda mwingi wanacheza karata, kulala na kupiga gumzo. Kimei alimwambia hakuna biashara ya kujenga ofisi kubwa hivyo akatumia ubabe na udikteta wake.
Mtakufa siku si zenu. FYI Chato ipo Geita ambako wana masoko ya dhahabu nk. Bei yake hivi sasa kwa ounce moja ni USD 1700 na ushee. Sasa uliza mrahaba wa mauzo hayo ni kiasi gani kwa mkoa? Jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza. Nyie mngeuliza huyo mleta mada awape ufafanuzi au atoe source kuliko kuweka majungu. Mnalivunjia heshima jukwaala JF.

BTW kazi zenu za kuosha vibibi vya kidhungu huko USA haziwezi kushindana na wachimba dhahabu. Tanzania kumenoga.
 
hiyo ni kwa 2021/2022, nafikiri ni fedha nyingi sana kwa halmashauri inayoendelea.....wengi nafikiri hatukulifikiria hili.

source: Star Tv (habari saa 2)
Wape vidonge vyao walifikiri Chato wanafanya biashara ya kuuza kahawa.
 
Ach uzushi.. labda mil 40..

Unaijua bilion wewe?
hiyo ni kwa 2021/2022, nafikiri ni fedha nyingi sana kwa halmashauri inayoendelea.....wengi nafikiri hatukulifikiria hili.

source: Star Tv (habari saa 2)
 


1612738600724.png


1612738641242.png


1612738664539.png


1612738722442.png
 
Chatto ambapo taa ziki kusimamisha mpaka zinapokuruhusu tena hakuna gari lilopita mbele yako ndio ikusanye hizo fedha?
Takwimu za kupikwa Kama zile za ripoti ya mfumuko wa bei
Hivi kumbe mapato mpaka kuwe na foleni eti!
 
FYI soma hii report ya kampuni ya Barrick kuhusu mapato yao hivi karibuni ... ... ..

Barrick says Tanzania mines successfully revived (miningweekly.com)

''The North Mara and Bulyanhulu gold mines both produced near the top end of their production guidance in 2020, their first full year under Barrick’s management. Including Buzwagi, the Tanzanian assets delivered a combined output of 462 472 oz for the year.''

..... ''The mines have been successfully revived, with North Mara delivering significant improvements and underground production restarted at Bulyanhulu. The mines, managed through the Twiga joint venture with the government of Tanzania, paid a maiden dividend of US$250 million in October 2020'' ............
 
hiyo ni kwa 2021/2022, nafikiri ni fedha nyingi sana kwa halmashauri inayoendelea.....wengi nafikiri hatukulifikiria hili.

source: Star Tv (habari saa 2)
Watu wameshakunywa maji ya bendera, Lodi Lofa akishasema ni Kijiji kwao ndio sahihi. Na wengi hata hawaifahamu wilaya ya Chato.
Screenshot_2021-02-08-02-33-52-1.png
 
Kama ni kweli chanzo cha hayo mapato itakuwa matumizi ya serikali yanayoambatana na safari za jiwe kwenda kujifukiza!
''During 2020, Barrick invested $800-million in the Tanzanian economy in the form of taxes, permits, infrastructure development, salaries and payments to local suppliers.''
 
Mleta post, Chato hupajui,muda huu nipo Chato ,natafuta chakula J's Motel vyakula vyao ni vibaya nipo pembeni yake kwa mama lishe ndiyo Kuna chakula kizuri kuliko motel.

nawashangaa sehemu gani hiyo
 
Back
Top Bottom