Kama ni Taarifa za bajeti ya Halmashauri , hii ni mapato ya vyanzo mbalimbali ,ruzuku na mishahara ya walimu na watumishi wa kada mbalimbali kwa mwaka.hiyo ni kwa 2021/2022, nafikiri ni fedha nyingi sana kwa halmashauri inayoendelea.....wengi nafikiri hatukulifikiria hili.
source: Star Tv (habari saa 2)
Kama alivo danganya mambo sasa kama risasi ilipinda conaMkuu
Never trust these fools..never
They are so crazy yanaweza chota hayo mapesa hazina yakapeleka Chattle halafu yanadanganya eti mapato
These fools are so crazy hiyo ni kazi ndogo sana kwao
Utafanyaje biashara bila kuwepo na watu wauzaji na wanunuajiHivi kumbe mapato mpaka kuwe na foleni eti!
Kuna miji mingapi iliyofikia makusanyo hayo?hiyo ni kwa 2021/2022, nafikiri ni fedha nyingi sana kwa halmashauri inayoendelea.....wengi nafikiri hatukulifikiria hili.
source: Star Tv (habari saa 2)
Hakuna mapato kama hayohiyo ni kwa 2021/2022, nafikiri ni fedha nyingi sana kwa halmashauri inayoendelea.....wengi nafikiri hatukulifikiria hili.
source: Star Tv (habari saa 2)
Mkuu, umesahau kumrushia tusi!FAKE NEWS! Kwa biashara ipi iliyopo hapo kijijini chato. Namba za kukaangwa hizo.
Hapana uliona vibaya taa ya kijani ikiwaka utaona mbuzi wakipita. Nilishangaa sana wale mbuzi.Chatto ambapo taa ziki kusimamisha mpaka zinapokuruhusu tena hakuna gari lilopita mbele yako ndio ikusanye hizo fedha?
Takwimu za kupikwa Kama zile za ripoti ya mfumuko wa bei
Acha kujipendekeza.Chato hata Sengerema haiifikii.So what!Na bado, kuanzia mwakani lazima shule mojawapo kutoka Chato iongoze katika ufaulu Kitaifa, msifanye na mchezo na Chato nyie.
Wewe jamaa unavyomchukia JPM Nadhani mpaka 2025 utakuwa ushakonda kama nyuzi ya gitaaFAKE NEWS! Kwa biashara ipi iliyopo hapo kijijini chato. Namba za kukaangwa hizo.
Umetumwa au umerogwa?hiyo ni kwa 2021/2022, nafikiri ni fedha nyingi sana kwa halmashauri inayoendelea.....wengi nafikiri hatukulifikiria hili.
source: Star Tv (habari saa 2)
hiyo ni kwa 2021/2022, nafikiri ni fedha nyingi sana kwa halmashauri inayoendelea.....wengi nafikiri hatukulifikiria hili.
source: Star Tv (habari saa 2)
Unawashwa kariba yako hailingani na unachokiandika hapaWachaga wameichukia sana Chato maana kamoshi kamebaki kamji ka kizamani
KATORO/BUSERESEREAcha ujinga.Chato ina population ya 365,127 kwa sensa iliyopita.
Kwa mapato ya bilioni 40, inabidi kila mwannachi huko achangie kodi ya 110,000 kwa wastani kwa mwaka.
Chato haina mzao ya biashara kukidhi hali hiyo, na chako haina kiwanda wala machimbo ya kutoa kodi hizo.
Heri ukawadanganye wenzio wasio enda shule.
Hawawezi kabisa! Mbona walishindwa kujua 1.5trilioni ilitumika wapi? Na kiasi hicho kilikusanywa na serkali. Si zaidi kwa tubilioni 40 kusema umetukusanya wakati hujatukusanya? Zile 1.5 T alizihalalisha mchadema badala ya CAG itakuwa hizi kiduchu wakati covid-19 yupo? Hata CAG aliyeambiwa kuwa aweza kaa mwaka mmoja tu, yupo. Anakumbuka vyema. Hajaanzisha mhimili ndani ya mhimili wa Ndugai, unaoelea juu ya mhimili uliojichimbia zaidi ya yote. CAG anayejua kukagua mahesabu ya serkali akijua yupo mwenye serkali yake. 40B kutoka Chato hakuna wa kubisha. Hata mwenye faili Mirembe anakubali!Chadema watabisha na hili