BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Salamu.Watanzania wengi wanaishi vijijini. Nahuko matunda ni mengi lakini husafirishwa kwenda mijini.
Matunda kama embe zinaonekana ni kwa watoto.
Ndizi mbivu wengi huzidharau kwamba chakula cha nyani.
Watu wa mijini wanajitahidi kula matunda sana.
Watu wa vijijini hasa wanaume wakienda mijini wao huona kuchoma nyama ndio muhimu zaidi
Mtu anabanwa na kiu badala anywe maji ananunua soda au juice.
Wen zetu mbele naona wao wanajali matunda na mboga mboga.
Kwetu huku mtu kununua mboga za majani hataki anaona ataonekana hana hela ya nyama au samaki.
Siwapangii watu namna ya kuishi ila ni ushauri.
Matunda huimarisha kinga na afya zetu .Yanapoibuka maradhi ya kuambukiza kwa kasi mfano Corona huenda ukaokoa maisha yako dhidi ya mashambulizi
Matunda kama embe zinaonekana ni kwa watoto.
Ndizi mbivu wengi huzidharau kwamba chakula cha nyani.
Watu wa mijini wanajitahidi kula matunda sana.
Watu wa vijijini hasa wanaume wakienda mijini wao huona kuchoma nyama ndio muhimu zaidi
Mtu anabanwa na kiu badala anywe maji ananunua soda au juice.
Wen zetu mbele naona wao wanajali matunda na mboga mboga.
Kwetu huku mtu kununua mboga za majani hataki anaona ataonekana hana hela ya nyama au samaki.
Siwapangii watu namna ya kuishi ila ni ushauri.
Matunda huimarisha kinga na afya zetu .Yanapoibuka maradhi ya kuambukiza kwa kasi mfano Corona huenda ukaokoa maisha yako dhidi ya mashambulizi