Wengi hawajaielewa kauli ya Dkt. Ally Bashiru kuhusu CCM kutumia faida ya kuwa na dola kuendelea kubaki madarakani

Wengi hawajaielewa kauli ya Dkt. Ally Bashiru kuhusu CCM kutumia faida ya kuwa na dola kuendelea kubaki madarakani

Incumbency Advantage unaiongea very loose!

Trump ana incumbency advantage lakini sio kutumia jeshi kuua wapinzani wake!

Au kutumia jeshi kuharibu electoral process kwa manufaa yake

Kwa kifupi sio electoral process tena ni jeshi-process,which is nonsense!

Yaani unatumia concept ya incumbency advantage kuhalalisha blantant violation of legal electoral process?

Kafieni huko,sisi wananchi sio mabumunda!
 
Wewe ndio hujamwelewa na huwezi kumwelewa kaa kimya tu......... Au ndio buku 7 zinakusumbua
 
Ulichozungumzia wewe ni NADHARIA alizokufundisha Dr.Bashiru ukiwa UDSM.

Lakini UHALISIA wa kinachoendelea hapa nchini ni MATUMIZI MABAYA ya vyombo vya dola, wazungu wanaita ABUSE OF POWER.

Vyombo vya dola kutumika na CCM kukandamiza na kudhulumu haki za mashabiki, wafuasi, na viongozi wa vyama vya upinzani ni kinyume cha Katiba na Sheria za nchi yetu.

Dr.Bashiru na wenzake ndani ya CCM wamepotoka, na hakuna namna ya kuwatetea.
 
Kwa kuongezea hapo ni kwamba Chama cha Siasa kikishindwa kuitumia vyema Dola kinakuwa kimepoteza sifa ya kuwa Chama tawala...kinabidi kitumie Dola kulinda Amani,mipaka ya nchi pamoja na kuwatetea maendeleo wananchi wa nchi husika..SASA ni Ngumu kufanya yote hayo na ukaacha kulinda maslahi ya Chama husika ambacho wanachama wake pia ni raia wa nchi husika.
 
Kumbe tunao wengi wenye fikra za kijinga humu! Lakini amekiri bila aibu kwamba huyo alikuwa mwalimu wake. Kama wanafunzi wote wa UDSM wako hivyo (wasio na independent thinking) ni hasara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa mwanafunzi wa Bashiru au Bana ni aibu, siyo watu ambao unaweza kujivunia. Hawa, kama alivyo Kibudu, ni opportunists. Hakuna chochote wanachokisimamia.
 
Hakuna ulichoeleza, serikali zote zilizoko madarakani utolewa kwa sababu haziwezi kutimiza ahadi zote kwa muda wa miaka 4 au 5 au hata wakipewa miaka 10, ahadi za nchi ni nyingi mno na zinaibuka kila uchao, mfano mzuri angalia Bunge kwanin zaidi ya 50% huwa ni wapya? huwa hivyo ni kwa vile utoa ahadi hata za uongo ili mradi tu waingie bungeni.
 
dogo janja unaonekana pumba kichwani hujaielewa ps110,pss220,ps335...ulikuwa humsikilizi bashiru wala ngwaza kamata,mallya,mukandala,bana,rodrik,jeriko bendera ya chuma,consolata,kiliani,kondi,mmuya nk!

nenda karudie madesa uje upya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe acha kujidharirisha una upopoma sana sio kila mtu a elewa ulivoelewa wewe sisi watanzania sio wajinga kiasi hiko sema tu sisi tulichokosa ni hiyo dora yenu, bunduki, vifaru, makombora, mabomu.
Kwa kuongezea hapo ni kwamba Chama cha Siasa kikishindwa kuitumia vyema Dola kinakuwa kimepoteza sifa ya kuwa Chama tawala...kinabidi kitumie Dola kulinda Amani,mipaka ya nchi pamoja na kuwatetea maendeleo wananchi wa nchi husika..SASA ni Ngumu kufanya yote hayo na ukaacha kulinda maslahi ya Chama husika ambacho wanachama wake pia ni raia wa nchi husika.
 
Mleta mada ulichocharibu kufafanua ni sawa na mtu alie tofautisha ukubwa wa ugonjwa na dawa sahihi kwa kutumia kingereza

Mfano mtu akisema "Chikenpox ni ugonjwa hatari sana unaua ... "

Then mwingine akasema "Tete kuwanga ni ugonjwa hatari sana unaua ... "

Kwa wengi Mashilole kama sisi ambao kinge kimetupita kushoto tutadhani "Chikenpox" ni ugonjwa hatari kuliko "Tetekuwanga" kwa sababu ya kinge ili hali ni ugonjwa uleule tatizo lugha tu ...

Hebu tupishe hapa na maneno yako ya ukumbatifu wa hoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom