Wengi tungeswekwa magerezani awamu ya tano wakati Serikali inataka IP adress za accounts zinazoikosoa, tunashukuru JamiiForums mlitusimamia

Mimi nilishaona jina langu la ukoo humu wakijadili kile nilichoandika,asidanganywe mtu kwamba wakitaka kutujua ha
awawezi
Wanaweza but Ile Nguvu ya kufanya hivyo Kwa sasa haipo kama kipindi kile tulipona ni wazi Kwa Sasa sio ishu wamebakia kufura Kila legacy inapoguswa 😆😆
 
Nyapu??
 
Maxmeello angeunga Mkono Juhudi watu Wazito wazito waliomo humu wangeteketea sana
 
Wewe ni mnafiki Sana.
Kama Siasa haina Unafiki Chadema wasingechukua ruzuku ambayo asilimia kubwa kwenye ile 17% ilitoka Bunda, Tarime Mjini, Kawe, Tabora na Nkasi kwa akina Covid-19 na Aida

Tundu Lisu: Misimamo ya kisiasa siyo Sheria za Mussa zilizoandikwa kwenye Mawe!
 
Watu wengi walioingia kwenye mikono ya wasiojulikana wamekuwa kama mabubu kwa yaliyowakuta au wanatoa story ambazo haziunganiki, sijui nini kiliwapata nyuma ya pazia! Inasikitisha sana.
 
Hata mama alikubali kwamba Taifa lilifanya koso kubwa kumpa mtu kama huyu madaraka juu. Aliipokea hi kauli "Never never and never again" kumpa mtu mshamba kama JPM huyu Uraisi
 
Kwani Maxence Melo alikwenda jela kwa kesi gani?

Halafu ujuwe member wa JF hawapo Tanzania tu, na server za JF zipo Marekani.

Huu siyo mtandao wa kifala.
Behind the scene Bado Kuna mengi usiyo yajua...
Datc mtu kama kigogo Ali opt kutumia Tweeter why??
Tupo nyuma ya keyboard ⌨️ ⌨️
Hatarisha usalama wa nchi then uone kama hauto patikana??
Let say
Anzisha thread hapa uki utangazia uma kua utaenda kulipua let's say miondombinu yetu sehemu alaf tukio litokee then uone kama utaachwa na kulindwa?!
Najalibu kuwaza
Tunaweza kuulinda UGAIDI hata mello najua hawezi
Nacho jua hapa Jf serikali iki itaji taarifa zako zinapatikana....
najalibu kuwaza
 
kwan kuna awamu isiyo na mapungufu ? akil zenu ni fupi sana yaan ukimpenda mtu unamuunga mkono kwa kila kitu ndio maana unaonesha attitude yako kwa kumshambulia jamaa , kisa walitaka privacy za watu jf basi tusipongeze ubora wake kwenye nyanja nyngne ?
 
Na wale waliokuwa wanashabikia mambo hayo tuko nao humu wanatoa povu lao kwa nguvu sana kulinda legasi!
Unafiki mtupu.
hakuna serikali timilifu , akili zenu ndo zinafanya siasa kuwa vita , hata Putin au Biden wana mazur na mapungufu , ni kituko kisa matukio mawili au matatu bas usiangalie mazuri mengi ya mtu , huu ukichaa wanao wasomi wa afrika
 
Nafahamu vizuri hata serikali za kina Hitler, Iddi Amin, Mobutu, Makuburu n.k hazikuwa timilifu na zilikuwa na mazuri yake pia.
hakuna serikali timilifu , akili zenu ndo zinafanya siasa kuwa vita , hata Putin au Biden wana mazur na mapungufu , ni kituko kisa matukio mawili au matatu bas usiangalie mazuri mengi ya mtu , huu ukichaa wanao wasomi wa afrika
 
Kwa Asali ya awamu hii. Usishangae IP address zikatolewa kimyakimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…