wao ni wao
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 1,179
- 2,807
Ajabu ni kuwa usiwaamini sana kuwa wahusika vingine ni vitoto vimo humu kazi ni kujiita usalama uchwara .Kuna wapuuzi walinifuata PM na kujifanya kunitisha, wengine kunirubuni na wengine kunitisha hadharani hapa jukwaani. Mungu mwema hatukubadilika.
Vikikufuata ukavieleza kuwa uko tayari vikutafute vinaishia mitini kimoja kikasema nakupa namba tuzungumze ili nikueleweshe nikakipa namba makusudi .
Ooops , eti kananipa mikwara mara kanajua nilipo mara kanaweza kunidaka mda wowote kakiamua nikaamua nikavunjie heshima nikahack siku mbili nikaja jua hajatumwa ila kazi kutaka kujimwambafai na mwisho ni askari polisi hapo Chang'ombe .
Nilicheka sana maana hata cheo kielimu hakana kapo tu na V mbili kakadhani maisha kamemaliza .
Nikasema wacha nikatese pia nikatafuta namna nikameet nako nikakaeleza ujinga kanaoufanya kakaishia kucheka tu na kusema sorry bro ni kufurahisha genge .
Nowdays sikaoni Jf kama una ID mpya stop doing that ujinga utakuja kukukost bwana mdogo .
Pona yako ni kuwa ulikuwa ni chapombe mwenzangu ila bila hivyo ningekuchezesha kinungenunge .
Ninyi akina Chabrosy na nokwenumuya kaeni vizuri na vitoto vyenu viishi katika misingi ya kazi na ethics zenu.