Wengi wanamkubali Bob Marley ila Mfalme wa Reggae duniani ni Lucky Dube

Kumbe na huku upo vyema! Nenda kajiburudishe na albam ya "Babylon by bus"

[emoji2398]ᡃʳᡉᡉᡐ [emoji769]
 
Unahabari kwamba Senzo yupo hai na hiyo habari haina ukweli wowote?
Ninayo habari, nilivyowaeleza hivyo ni kwamba Dube alihusishwa na kutaka kumuua Senzo, ambapo ilimbidi Senzo kuingia magichoni na alikuja kutoka mafichoni baada ya Dube kufariki.[emoji106]

[emoji2398]ᡃʳᡉᡉᡐ [emoji769]
 
Acha kumfananisha TUFF GONG na lucky dube mkuu.Nesta Marley ni moto mwingine na hatotokea kama yeye.

Yaani jamaa ana vibe ya kiaina yake na hana kazi mbovu.

No woman no cry is my favorite song kwa upande wangu.Mungu alimpaka Kipaji cha kipekee huyu jamaa na alikuwa very friendly. Nimeamini hpa ulimwenguni kwamba Chema hakidumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Post mbovu kabisa hii
 
Daddy even where u are remember me.... "


Mpeni heshima lucky Dube wivu sio mzuri wakuu hasa nyie wala bange
You left for the city many years,
Promised to come back and take care of us
Many years have gone by now still no sign of you daddy eeh
Mammy died of heart attack when she heard that you were married again

Daddy wherever you are remember me
Daddy whatever you do I love you

Wandering up and down in the streets of soweto
no place to call my home
I tried to find you many years have gone and the woman you were married too is not good at all

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Robert Nesta ni muujiza, atakaa akumbukwe mpaka kwenye vizazi vya mwisho wa Dunia.
 
bob marley is the best in short try to find their song and listen carefull
 
Me naona kila mtu alikuwa Best kwa zama zakee sawa leo uanze kumfananisha Eminem na Tupac...!!! Wengi watasema tupac ni mkali kwa kufata mkumbo ila hata Nyimbo zake mbili hawazijuiii... Kwangu Lucky dube ni best raggae artist milele yote nikisema bob marley nitafata mkumbo hata simu yangu Nyimbo za Luck dube nyingi sana. Remember Me..Slave..prisoner yani mwamba alikuwa noma sana. Aliemuua mshkaji alaaniwe sana japo wanadai hakujua kama ni Lucky dube that Man was Blessed aisee.
 
You made my day

Sent using Jamii Forums mobile app
 



kama; one beuty is in the eyes of a beholder basi sweetness of a music is in the ears of a listener.

In my side Bob Marley is far beyond Lucky Dube, ndiyo maana dunia inamuita The king of Raggae.
 
Nyimbo nyingi za lucky ukizisikiliza zina hisia sana yan alikuwa anaimba kwa hisia kwel mfan remember me,slave,usizi, back to my roots hii back to my roots aliiperform 93 kuna clip YouTube ile permfomance yake kuanzia upigaji vyombo mpaka saut ilikuwa balaa mim nyimbo za bob azinigusi kabisa yan japo alikuw vizur ila ni vile kila mtu na anaemkubali. Kuna moja hiv ya lucky inaitwa hands that gives ina message nzur sana
 
𝐡𝑂𝐡 π‘€π΄π‘…πΏπΈπ‘Œ π‘Žπ‘™π‘–π‘’π‘Žπ‘€π‘Ž π‘›π‘Ž β„Žπ‘Žπ‘‘π‘Ž πΏπ‘ˆπΆπ‘Œ π·π‘ˆπ΅πΈ π‘Žπ‘™π‘–π‘’π‘Žπ‘€π‘Ž


𝑗𝑒 π‘ π‘Žπ‘π‘Žπ‘π‘’ π‘§π‘Ž π‘šπ‘Žπ‘’π‘Žπ‘—π‘– π‘¦π‘Žπ‘œ 𝑛𝑖 𝑧𝑖𝑝𝑖?
 
Kuna ule wimbo wa I GOT YOU BABE ali perform uwanjani,ilikua ni noma aiseee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…