Wengi wanamkubali Bob Marley ila Mfalme wa Reggae duniani ni Lucky Dube

Wengi wanamkubali Bob Marley ila Mfalme wa Reggae duniani ni Lucky Dube

Kwani lini senzo akikufa ?


Watanzania vichwa vyenu vimejaa maji
Sio kama simpendi Lucky Dube ila muziki wake nilianza kuupotezea pale alipohusishwa na kifo cha Senzo

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upumbavu wewe chizi senzo ni mzima wa afya mjinga wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpumbavu mwenyewe na ukoo wenu! kwani nani amesema Senzo amekufa! Najua Senzo hakufa na alikuwa mafivhoni na chanzo cha kujificha ni kutokana na jamaa huyo kuhusishwa kutaka kumuua. Acha ujinga wa kupitia post moja

"ᴺᵒ ⁱᵐᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ ᵗʰᵉ ʷᵒʳᵈ ⁱᵗˢᵉˡᶠ ˢᵃʸˢ ᴵ'ᵐ ᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ"
 
Naelewa, nisome tena alihusishwa na kifo cha Senzo. Senzo hakufa na alikuwa mafichoni. Si ametoka mafichoni baada ya huyu jamaa kufa.

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Then angalia hii ni post ya lini? Kunguni wewe!
Acha upumbavu wewe chizi senzo ni mzima wa afya mjinga wewe

Sent using Jamii Forums mobile app

"ᴺᵒ ⁱᵐᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ ᵗʰᵉ ʷᵒʳᵈ ⁱᵗˢᵉˡᶠ ˢᵃʸˢ ᴵ'ᵐ ᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ"
 
Then angalia hii ni post ya lini? Kunguni wewe!

"ᴺᵒ ⁱᵐᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ ᵗʰᵉ ʷᵒʳᵈ ⁱᵗˢᵉˡᶠ ˢᵃʸˢ ᴵ'ᵐ ᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ"
We ni mpuuzi tu senzo alikaa nje ya muziki kwasababu ya issue ya sauti ilikuwa haitoki mbwa wewe wa kichina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alpha blond?!

Siafiki kabisa.Hawezi kuwa level za Bob
Ungekua msikilizaji mzuri wa reggae ungefahamu Bob Nesta Marley na Luck Dube wanapiga aina tofauti ya reggae nikiwa na maana Bob Marley alipiga Roots Reggae na Lucky Dube alipiga Sweet Reggae.

Katika tasnia ya muziki wa reggae inaonyesha tayari hivyo ni vionjo tofauti vya muziki.

Usifananishe Bob Marley na vitu vya kijinga kabisa

Nasisitiza Bob Marley mfananishe na kina Peter Tosh, Joseph hill, Israel Vibration ana Alpha Blondy halafu huyo Luck Dube mfananishe na kina kin Senzo.


Full Stop

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia yote inamtukuza na kumuhusudu Bob Marley (Culture?) kama mfalme wa muziki rege, sijui wanatumia vigezo gani hasa. Wanamshusha na kumchukulia poa Lucky Dube sijui kwakua Bob aliuawa ndio wanakua na sympathy naye.

Kwa upande wangu japo Dube alimuheshimu Bob ila kwangu dube ndio mfalme wa muziki wa rege duniani. Nyimbo safi zenye ujumbe mwanana, beats zilizoenda shule performance za hadhi ya nyota 15 alizofanya! Nina uhakika Bob angekuwepo wakati Dube Anatoa Album zake 3 za mwanazo (hasa Slave) angempigia magoti Dube na kumsujudu kwa nyimbo bora alizotoa.

Huyu jamaa anajua hasa sikiliza nyimbo zake zote 80% lazima uzipende tu, ukutaka ujue ukali wa huyu mtu angalia Live performance zake utadata.

Najua mtanipinga humu na kunipopoa ila kwangu huyu ndio nishampitisha kua Mfalme wa Rege Duniani, hakuna mwingine.

Ninauhakika huko alipo kapumzika kwa amani maana katimiza kile kilichomleta duniani (Kuhamasisha watu waamke) japo alikua na mapungufu yake kama mtu yoyote yule ila naamini huyu mtu mbingu ni yake na tunaweza mwita mtakatifu kwa kazi yake nzuri.

Sikiliza hizi



Ha ha ha ha kweli wewe hujui reggae hata jinsi ya kuiandika, Lucky Dube mwenye melody moja kwenye kila nyimbo, mwenye kupayuka na beat zinazofanana na zenye vinanda kama nyimbo za kanisani. Wewe mshamba sana hujui historia ya reggae na ni muziki wa aina gani, hujui kiingereza ndiyo maana unafikiri nyimbo za Bob hazina ujumbe. Kila mwimbo wa Bob una ujumbe, alitumia lugha ya ndani ya kiingereza na matamshi yake ya kijamaica yamekuacha. Lucky DUbe nyimbo zake za kulia tu, wala sio maarufu duniani kama Bob, huwezi kufananisha hata kidogo. Kwenye dunia ya root reggae ya kweli Lucky DUbe is nothing.
 
Dunia yote inamtukuza na kumuhusudu Bob Marley (Culture?) kama mfalme wa muziki rege, sijui wanatumia vigezo gani hasa. Wanamshusha na kumchukulia poa Lucky Dube sijui kwakua Bob aliuawa ndio wanakua na sympathy naye.

Kwa upande wangu japo Dube alimuheshimu Bob ila kwangu dube ndio mfalme wa muziki wa rege duniani. Nyimbo safi zenye ujumbe mwanana, beats zilizoenda shule performance za hadhi ya nyota 15 alizofanya! Nina uhakika Bob angekuwepo wakati Dube Anatoa Album zake 3 za mwanazo (hasa Slave) angempigia magoti Dube na kumsujudu kwa nyimbo bora alizotoa.

Huyu jamaa anajua hasa sikiliza nyimbo zake zote 80% lazima uzipende tu, ukutaka ujue ukali wa huyu mtu angalia Live performance zake utadata.

Najua mtanipinga humu na kunipopoa ila kwangu huyu ndio nishampitisha kua Mfalme wa Rege Duniani, hakuna mwingine.

Ninauhakika huko alipo kapumzika kwa amani maana katimiza kile kilichomleta duniani (Kuhamasisha watu waamke) japo alikua na mapungufu yake kama mtu yoyote yule ila naamini huyu mtu mbingu ni yake na tunaweza mwita mtakatifu kwa kazi yake nzuri.

Sikiliza hizi



Sasa kama ulishampitisha Lucky Dube wako kama mfalme wa reggae duniani huu Uzi wa nini sasa? Kwanini hutaki challenge?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Paragraph ya kwanza tu unaonekana hujui mambo ya kidunia. Aliyeuwawa ni Lucky Dube (kwa risasi) Bob alikufa tu kawaida kwa kansa iliyoanzia kwenye kidole chake cha mguu.
2. Huwezi mlinganisha Lucky Dube na mkongwe Bob. Lucky anaimba na vinanda sana (huwa tunasema nyimbo zake ni kama kwaya) Bob anaimba ile "Roots Rocky Reggae" yenyewe.
3. Kasikilize nyimbo za Bob kama "Jah live" "Jump Nyabinghi" "Roots Rock Reggae" "Chant Down Babylon" "Them Belly Fully" "Bad card" "Concrete Jungle" "Kaya" najua kwa uelewa wako umeishia zile nyimbo common kama "No woman no cry" "Africa Unite" "Zimbabwe"
4. Fanya hayo hapo juu No. 3 halafu uje ufute huu uzi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
What a nice piece!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msilete ujuaju mwingi wazee,mambo ya root sijui na sweet raggae hayo wengine hata hatujui ia haitufanyi kuweza kuwalinganisha na kuwatofautisha hawa jamaa kwa uwezo,Kwani mpira wa Maradona na Pelé ilifanana, Je Messi na Ronaldo mpira wao unafanya na?Lakini Mbona daily tunawalinganisha yupi ni bora? Tukija kwenye mada mimi siyo mjuaji sana wa mziki wa rege ila kwa kusikiliza ujumbe na amsha ya nyimbo kwangu Lucky Dube ndiye bora.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mpumbavu mwenyewe na ukoo wenu! kwani nani amesema Senzo amekufa! Najua Senzo hakufa na alikuwa mafivhoni na chanzo cha kujificha ni kutokana na jamaa huyo kuhusishwa kutaka kumuua. Acha ujinga wa kupitia post moja

"ᴺᵒ ⁱᵐᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ ᵗʰᵉ ʷᵒʳᵈ ⁱᵗˢᵉˡᶠ ˢᵃʸˢ ᴵ'ᵐ ᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ"
Ndio tatizo la watu wengi Uzi wanaukuta njiani anaku qoute hangalii nyuma comment imetokana na nini
 
Mleta mada atakuwa amejifunza mengi na sasa hivi amejichimbia mahali anapitia albam moja baada ya nyingine ya miamba hii ya Ragge duniani. Soon ataleta majibu tofauti hapa,

enjoy kitu cha "Ambush in the night"
 
Dunia yote inamtukuza na kumuhusudu Bob Marley (Culture?) kama mfalme wa muziki rege, sijui wanatumia vigezo gani hasa. Wanamshusha na kumchukulia poa Lucky Dube sijui kwakua Bob aliuawa ndio wanakua na sympathy naye.

Kwa upande wangu japo Dube alimuheshimu Bob ila kwangu dube ndio mfalme wa muziki wa rege duniani. Nyimbo safi zenye ujumbe mwanana, beats zilizoenda shule performance za hadhi ya nyota 15 alizofanya! Nina uhakika Bob angekuwepo wakati Dube Anatoa Album zake 3 za mwanazo (hasa Slave) angempigia magoti Dube na kumsujudu kwa nyimbo bora alizotoa.

Huyu jamaa anajua hasa sikiliza nyimbo zake zote 80% lazima uzipende tu, ukutaka ujue ukali wa huyu mtu angalia Live performance zake utadata.

Najua mtanipinga humu na kunipopoa ila kwangu huyu ndio nishampitisha kua Mfalme wa Rege Duniani, hakuna mwingine.

Ninauhakika huko alipo kapumzika kwa amani maana katimiza kile kilichomleta duniani (Kuhamasisha watu waamke) japo alikua na mapungufu yake kama mtu yoyote yule ila naamini huyu mtu mbingu ni yake na tunaweza mwita mtakatifu kwa kazi yake nzuri.

Sikiliza hizi



Nzuri
 
Back
Top Bottom