Wengi wanamkubali Bob Marley ila Mfalme wa Reggae duniani ni Lucky Dube

Wengi wanamkubali Bob Marley ila Mfalme wa Reggae duniani ni Lucky Dube

Acha ushamba bro ebu tuonyeshe raggae yako tuone... Kwenye raggae kuna style nyingi za uwimbaji... Sasa lucky anaimba sweet raggae... Bob ni raggae ska & roackstead folk... Then acha kumfananisha lucky na vitu vya ajabu mkuu... Kila mmoja ana test yake kwa music... Na wote niwakali ila wanazidiana nyimbo na nyimbo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui reggae muzik wewe... luck dube na sweat reggae wapi na wapi? Dube anaimba kwaya. Sweetie reggae walikuwa wanaimba UB40 kitambo hiyo sasa muziki wao wale unafanana na wa luck dube? Sweetie reggae inambwa na akina Morgan heritage family, octane,qeen ifrica etc ambawo muziki wenyewe ni tofauti kabisa na reggae aliyokuwa akiimba lucky dube.... lakini aina zote hizo za reggae zimetokana na roots ambayo alikuwa akiimba bob, so kumfanisha bob na dube ni sawa kumfananisha kwenye soka fei toto na johan cruyff
 
Kila mtu na taste yake lakini toka mwaka huu uanze sijamsikiliza Bob.
 
Hata RFA walipambanisha ila kwa ushamba wa wackilizaji wakampa ushindi luck dube, nilishangaa sana. Bob mwisho wa matatizo. Dube mtoto mdogo akalale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bob ni kiumbe chengine. yaani nikisikiliza no woman no cry ndo nahisi hasa ladha ya bob
 
mziki wa bob unahitaji akili kubwa sana kuuelewa, ukiona mtu atambui bob n nan co kosa lake kosa ni low IQ iliyoshindwa kuelewa mafumbo na vitendawili vilivyopo kwny mziki wake
bob kaimba mziki ambao hata ipite karne ukiusikiliza unaona kabisa unareflect the real situation in a society
bob was a prophet asee
rip legend


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungekua msikilizaji mzuri wa reggae ungefahamu Bob Nesta Marley na Luck Dube wanapiga aina tofauti ya reggae nikiwa na maana Bob Marley alipiga Roots Reggae na Lucky Dube alipiga Sweet Reggae.

Katika tasnia ya muziki wa reggae inaonyesha tayari hivyo ni vionjo tofauti vya muziki.

Usifananishe Bob Marley na vitu vya kijinga kabisa

Nasisitiza Bob Marley mfananishe na kina Peter Tosh, Joseph hill, Israel Vibration ana Alpha Blondy halafu huyo Luck Dube mfananishe na kina kin Senzo.


Full Stop
Umeenda vizuri

Lakini lukcy dune kumfananisha na senzo is not right

Lucky dube anakimbizana na akina alpha blondy
 
mziki wa bob unahitaji akili kubwa sana kuuelewa, ukiona mtu atambui bob n nan co kosa lake kosa ni low IQ iliyoshindwa kuelewa mafumbo na vitendawili vilivyopo kwny mziki wake
bob kaimba mziki ambao hata ipite karne ukiusikiliza unaona kabisa unareflect the real situation in a society
bob was a prophet asee
rip legend


Sent using Jamii Forums mobile app
mziki wa dube una nafasi ya kuishi miaka 100 mbele kuliko wa bob.

leo hii hata ukikamata kijana wa miaka 18,hamjui bob ila dube anamjua,unajua kwanini!!!,mwamba aliimba nyimbo zinazoeleweka na watu wote.

hata baadae kuna uwezekano akaja kutambulika kama muasisi wa reggae kwa vizazi vijavyo,haitakuwa bahati mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia yote inamtukuza na kumuhusudu Bob Marley (Culture?) kama mfalme wa muziki rege, sijui wanatumia vigezo gani hasa. Wanamshusha na kumchukulia poa Lucky Dube sijui kwakua Bob aliuawa ndio wanakua na sympathy naye.

Kwa upande wangu japo Dube alimuheshimu Bob ila kwangu dube ndio mfalme wa muziki wa rege duniani. Nyimbo safi zenye ujumbe mwanana, beats zilizoenda shule performance za hadhi ya nyota 15 alizofanya! Nina uhakika Bob angekuwepo wakati Dube Anatoa Album zake 3 za mwanazo (hasa Slave) angempigia magoti Dube na kumsujudu kwa nyimbo bora alizotoa.

Huyu jamaa anajua hasa sikiliza nyimbo zake zote 80% lazima uzipende tu, ukutaka ujue ukali wa huyu mtu angalia Live performance zake utadata.

Najua mtanipinga humu na kunipopoa ila kwangu huyu ndio nishampitisha kua Mfalme wa Rege Duniani, hakuna mwingine.

Ninauhakika huko alipo kapumzika kwa amani maana katimiza kile kilichomleta duniani (Kuhamasisha watu waamke) japo alikua na mapungufu yake kama mtu yoyote yule ila naamini huyu mtu mbingu ni yake na tunaweza mwita mtakatifu kwa kazi yake nzuri.

Sikiliza hizi


Mimi sipendi nyumbo za bob ila nampenda sana dube yaan ni mfuasi wake wa kufa na kufurukutwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watu sijui wanafikiriaje, huwezi kumfananisha mwanamuziki aliyewika worldwide na mwanamuziki anayefahamika kusini mwa jangwa la Sahara pekee.
sasa unadhani kosa lilikuwa anachoimba au anaimba akiwa wapi???hivi unadhani dube angezaliwa marekani hali ingekuwaje!!!!!

na vile alikuwa na muonekano a ajabu ajabu ndio kabisaa,wengi wenu mkanuna mazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa unadhani kosa lilikuwa anachoimba au anaimba akiwa wapi???hivi unadhani dube angezaliwa marekani hali ingekuwaje!!!!!

na vile alikuwa na muonekano a ajabu ajabu ndio kabisaa,wengi wenu mkanuna mazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lucky Dube alishindwa kumfunika Alpha Blondie, ndio umpambanishe na muasisi wa reggae. Mkuu hebu kuwa serious basi.
 
mziki wa dube una nafasi ya kuishi miaka 100 mbele kuliko wa bob.

leo hii hata ukikamata kijana wa miaka 18,hamjui bob ila dube anamjua,unajua kwanini!!!,mwamba aliimba nyimbo zinazoeleweka na watu wote.

hata baadae kuna uwezekano akaja kutambulika kama muasisi wa reggae kwa vizazi vijavyo,haitakuwa bahati mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app


Wasiomfahamu Bob Marley ni watu wa wapi? Tuanze hapo kwanza. Maana sio uko tu Mbagala, unakuja kuleta madai kwamba watu Duniani hawamfahamu Robert Nesta
 
Back
Top Bottom