Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Habarini wakuu sana.
Ipo namna hivyo. Watu ambao hawakupata lishe ya kutosha utotoni huwa wanapoteza uwezo wa kuchakata msosi. Yaani mwili wake unavyotumia chakula ni tofauti na mtu ambaye alipata lishe ya kutosha.
Sasa mtu huyu akipata pesa au uhakika wa msosi ukubwani, anajikuta anakula kuliko uwezo wa mwili wake kuchakata msosi. Jambo hili linapelekea tatizo la obesity, kitambi, kisukari na magonjwa mengine yatokanayo na ulaji mbaya.
Ni vema tujitahidi wapate mlo kamili utotoni, maziwa na nyama ni muhimu sana. Na kama hukupata chakula kamili utotoni na ukapata udumavu, punguza ulaji usio na afya.
Ipo namna hivyo. Watu ambao hawakupata lishe ya kutosha utotoni huwa wanapoteza uwezo wa kuchakata msosi. Yaani mwili wake unavyotumia chakula ni tofauti na mtu ambaye alipata lishe ya kutosha.
Sasa mtu huyu akipata pesa au uhakika wa msosi ukubwani, anajikuta anakula kuliko uwezo wa mwili wake kuchakata msosi. Jambo hili linapelekea tatizo la obesity, kitambi, kisukari na magonjwa mengine yatokanayo na ulaji mbaya.
Ni vema tujitahidi wapate mlo kamili utotoni, maziwa na nyama ni muhimu sana. Na kama hukupata chakula kamili utotoni na ukapata udumavu, punguza ulaji usio na afya.