Ufanyike mdahalo kati ya Lissu na mbowe waogombea uenyekiti, tuhuma hizo zitajibiwa.Heshima sana Wanajamvi.
Kwa mujibu wa Hezekiah Wenje, Mwaka 2012 Lissu alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Kati.
Ndani ya Mwaka mmoja hakufanya chochote katika kanda hiyo.Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ilimfukuza.
Ikiwa Kanda ya Kati yenye Mikoa ya Morogoro,Dodoma & Singida ilimtoa hadi Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ikamtimua,je itaiweza nafasi ya Mwenyekiti Taifa ?.
Nadhani ni vizuri tukamwacha Lissu aendelee na safari zake za Belgium.
Ngongo kwa sasa The Hub tayari kuukaribisha mwaka mpya.
Kamati tendaji ikamfukuza Uongozi wa Kanda baadae wakamteua Makamu Mwenyekiti Kisha mgombea Uraisi.Heshima sana Wanajamvi.
Kwa mujibu wa Hezekiah Wenje, Mwaka 2012 Lissu alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Kati.
Ndani ya Mwaka mmoja hakufanya chochote katika kanda hiyo.Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ilimfukuza.
Ikiwa Kanda ya Kati yenye Mikoa ya Morogoro,Dodoma & Singida ilimtoa hadi Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ikamtimua,je itaiweza nafasi ya Mwenyekiti Taifa ?.
Nadhani ni vizuri tukamwacha Lissu aendelee na safari zake za Belgium.
Ngongo kwa sasa The Hub tayari kuukaribisha mwaka mpya.
Namshukuru ana Lissu kwa kuchukuwa form kwa sababu ametufanya tujue CHADEMA ni chama cha namna gani. Kumbe hakina tofauti na CCM hata kidogo, au pengine niseme kinaweza kuwa chama kibovu kuliko CCM. Mtu kama wewe ulikuwa unamnanga Kibajaji kumbe una akili mbovu kuliko yeye! Bila kujali ni nani atakuwa mwenyekiti lakini tumepata fursa ya kujua viongozi wengi wa kisiasa wana ambitions za aina gani.Kabla hajaongea na umma atoe kwanza mchango wake 30 Million.
Tena ifanyike midahalo miwili, mmoja kwa kiswahili na mwingine kwa kiingereza. Kenya kuna waandishi wazuri sana wa habari na watatusaidia kwenye mdahalo wa kiingereza.Ufanyike mdahalo kati ya Lissu na mbowe waogombea uenyekiti, tuhuma hizo zitajibiwa.
Mbona hapa dar huku mitaani cdm imekufa jevmwenyekiti wa Kanda afukuzwe??Heshima sana Wanajamvi.
Kwa mujibu wa Hezekiah Wenje, Mwaka 2012 Lissu alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Kati.
Ndani ya Mwaka mmoja hakufanya chochote katika kanda hiyo.Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ilimfukuza.
Ikiwa Kanda ya Kati yenye Mikoa ya Morogoro,Dodoma & Singida ilimtoa hadi Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ikamtimua,je itaiweza nafasi ya Mwenyekiti Taifa ?.
Nadhani ni vizuri tukamwacha Lissu aendelee na safari zake za Belgium.
Ngongo kwa sasa The Hub tayari kuukaribisha mwaka mpya.
Dogo wenje kakunja mkwanja mrefu kutoka kwa AbdulKwa ufupi kabisa,
Wenje anaposema Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ilimwondoa Lissu kwenye Uenyekiti wa Kanda ni kinyume na Katiba ya CHADEMA kwani mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Kanda ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ni Kamati Kuu au Baraza kuu sio Kamati Tendaji ya Kanda.
Haya hapa maneno ya Wenje,
"Lissu amewahi kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kati, alihudumu kwa mwaka mmoja, Kamati Tendaji ya Kanda ikamfukuza, hakufanya chochote kwenye Kanda, sasa anataka uenyekiti wa Chama Taifa. Ninawaambia leo Lissu akiwa Mwenyekiti wetu wa Chama Taifa ndani ya mwaka mmoja wanachama wenyewe wa Chadem ndio wataandamana kwenda kumfukuza."
Halafu sahv kajishushia sana thamani yake...domo lake pana kama sinia limemponza... nilimpenda sana Lissu but now nasikia hata kichefuchefu kumtazamaKabla hajaongea na umma atoe kwanza mchango wake 30 Million.
Lissu si kiongozi period!!Tena ifanyike midahalo miwili, mmoja kwa kiswahili na mwingine kwa kiingereza. Kenya kuna waandishi wazuri sana wa habari na watatusaidia kwenye mdahalo wa kiingereza.
UPI, YUKO SMARTWenje anahitaji msaada wa haraka
Haya ni maoni yako ndugu yangu na kwa sababu wewe siyo ''kipimo cha kupima viongozi'' you are welcomed to voice your opinion. Lakini kwangu mimi Mbowe ameshapoteza uwezo wa kuongoza. Jana Wenje kasema Mbowe ametoa sh milioni 250 ''kuchangia'' uchaguzi. Kweli mkuu, baada ya miaka 20 ya uongozi wanataka kutuambia kuwa CHADEMA bado ina-operate kwa mtindo wa zimamoto namna hii? Huoni kuwa hii inaonyesha kwamba jamaa hafai hata chembe? Niambie sababu 3 tu za kwa nini Lissu siyo kiongozi mimi nitakutajia sababu 10 za kwa nini Mbowe hafai tena kuongoza!Lissu si kiongozi period!!