Pre GE2025 Wenje adai Lissu akiwa Mwenyekiti Kanda ya Kati alitimuliwa na Kamati Tendaji mwaka 2012

Pre GE2025 Wenje adai Lissu akiwa Mwenyekiti Kanda ya Kati alitimuliwa na Kamati Tendaji mwaka 2012

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Heshima sana Wanajamvi.
Kwa mujibu wa Hezekiah Wenje, Mwaka 2012 Lissu alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Kati.

Ndani ya Mwaka mmoja hakufanya chochote katika kanda hiyo.Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ilimfukuza.

Ikiwa Kanda ya Kati yenye Mikoa ya Morogoro,Dodoma & Singida ilimtoa hadi Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ikamtimua,je itaiweza nafasi ya Mwenyekiti Taifa ?.

Nadhani ni vizuri tukamwacha Lissu aendelee na safari zake za Belgium.

Ngongo kwa sasa The Hub tayari kuukaribisha mwaka mpya.
Ufanyike mdahalo kati ya Lissu na mbowe waogombea uenyekiti, tuhuma hizo zitajibiwa.
 
Heshima sana Wanajamvi.
Kwa mujibu wa Hezekiah Wenje, Mwaka 2012 Lissu alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Kati.

Ndani ya Mwaka mmoja hakufanya chochote katika kanda hiyo.Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ilimfukuza.

Ikiwa Kanda ya Kati yenye Mikoa ya Morogoro,Dodoma & Singida ilimtoa hadi Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ikamtimua,je itaiweza nafasi ya Mwenyekiti Taifa ?.

Nadhani ni vizuri tukamwacha Lissu aendelee na safari zake za Belgium.

Ngongo kwa sasa The Hub tayari kuukaribisha mwaka mpya.
Kamati tendaji ikamfukuza Uongozi wa Kanda baadae wakamteua Makamu Mwenyekiti Kisha mgombea Uraisi.

Inamaana kiongozi aliyeshindwa Kanda akapewa Umakamu Mwenyekiti na Uraisi.... Hii kamati ina shida mahali.
 
Kabla hajaongea na umma atoe kwanza mchango wake 30 Million.
Namshukuru ana Lissu kwa kuchukuwa form kwa sababu ametufanya tujue CHADEMA ni chama cha namna gani. Kumbe hakina tofauti na CCM hata kidogo, au pengine niseme kinaweza kuwa chama kibovu kuliko CCM. Mtu kama wewe ulikuwa unamnanga Kibajaji kumbe una akili mbovu kuliko yeye! Bila kujali ni nani atakuwa mwenyekiti lakini tumepata fursa ya kujua viongozi wengi wa kisiasa wana ambitions za aina gani.
 
Wenje anampambania tajiri wake Mzee Mbowe.
 
Heshima sana Wanajamvi.
Kwa mujibu wa Hezekiah Wenje, Mwaka 2012 Lissu alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Kati.

Ndani ya Mwaka mmoja hakufanya chochote katika kanda hiyo.Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ilimfukuza.

Ikiwa Kanda ya Kati yenye Mikoa ya Morogoro,Dodoma & Singida ilimtoa hadi Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ikamtimua,je itaiweza nafasi ya Mwenyekiti Taifa ?.

Nadhani ni vizuri tukamwacha Lissu aendelee na safari zake za Belgium.

Ngongo kwa sasa The Hub tayari kuukaribisha mwaka mpya.
Mbona hapa dar huku mitaani cdm imekufa jevmwenyekiti wa Kanda afukuzwe??
 
Kwa ufupi kabisa,

Wenje anaposema Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati ilimwondoa Lissu kwenye Uenyekiti wa Kanda ni kinyume na Katiba ya CHADEMA kwani mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Kanda ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ni Kamati Kuu au Baraza kuu sio Kamati Tendaji ya Kanda.

Haya hapa maneno ya Wenje,

"Lissu amewahi kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kati, alihudumu kwa mwaka mmoja, Kamati Tendaji ya Kanda ikamfukuza, hakufanya chochote kwenye Kanda, sasa anataka uenyekiti wa Chama Taifa. Ninawaambia leo Lissu akiwa Mwenyekiti wetu wa Chama Taifa ndani ya mwaka mmoja wanachama wenyewe wa Chadem ndio wataandamana kwenda kumfukuza."

Dogo wenje kakunja mkwanja mrefu kutoka kwa Abdul
Anatesa tu, kwa kuwa Abdul the prince ana impunity
 
Kabla hajaongea na umma atoe kwanza mchango wake 30 Million.
Halafu sahv kajishushia sana thamani yake...domo lake pana kama sinia limemponza... nilimpenda sana Lissu but now nasikia hata kichefuchefu kumtazama
 
Lissu si kiongozi period!!
Haya ni maoni yako ndugu yangu na kwa sababu wewe siyo ''kipimo cha kupima viongozi'' you are welcomed to voice your opinion. Lakini kwangu mimi Mbowe ameshapoteza uwezo wa kuongoza. Jana Wenje kasema Mbowe ametoa sh milioni 250 ''kuchangia'' uchaguzi. Kweli mkuu, baada ya miaka 20 ya uongozi wanataka kutuambia kuwa CHADEMA bado ina-operate kwa mtindo wa zimamoto namna hii? Huoni kuwa hii inaonyesha kwamba jamaa hafai hata chembe? Niambie sababu 3 tu za kwa nini Lissu siyo kiongozi mimi nitakutajia sababu 10 za kwa nini Mbowe hafai tena kuongoza!
 
Back
Top Bottom