Pre GE2025 Wenje akiri kufahamiana na Abdul (Mtoto wa Rais) na ana mawasiliano naye

Pre GE2025 Wenje akiri kufahamiana na Abdul (Mtoto wa Rais) na ana mawasiliano naye

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mtoa Taarifa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2024
Posts
213
Reaction score
671
Baada ya Miezi zaidi ya mitano Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu kutuhuma hadharani kwamba kuna hela za Mama Abdul na Abdul zilipelekwa kuvuruga uchaguzi wa Chadema.

Lissu pia akaenda mbali zaidi na kuanza kutaja watu na miongoni mwao ni Mtu anaetajwa alikuwa ndiye Dalali wa kuunganisha hizo hela ni Mhe Wenje ambae ni Mwenyekiti wa Kanda ya Victoria na mjumbe wa kamati kuu na ndiye alimpeleka Abdul nyumbani kwa Lissu kwa kusudio la Kumuhonga

Mhe Wenje kwa miezi yote hiyo hajawahi kutamka wala kuelezea tuhuma hizo dhidi yake usipokuwa leo amekubali ombi la team ya Habari online Star Tv kusema haswa kipi ni Mbivu na kipi n mbichi

Tumefanya nae Mahojiano Maalumu kupitia Habari Star TV

Tumetaka kujua Abdul ni nani kwake Wenje

Tumetaka kujua ilikuwaje mpaka Lissu,Abdul na yeye wakakutana nyumbani kwa Lissu

Katika interview wenje amekiri wazi anamfamu Abdul kuwa ni mtoto wa Rais na anamawasiliano nae je swali walienda nyumbani na hela za kuhonnga?
 
20241208_002449.jpg
 
Nikawa najiuliza kwann wale ma bigi fishi wa chama hawapotei au kuuwawa kma hawa kina soka kumbe they have something in common with some bad people lkn LISSU kitambo amekuwa sio mtu wa madeal ndo mana aliwataja kina chenge na tibaijuka hadharani kuwa ni wezi bungeni hata baada ya kupigwa risasi 2017 bado ameendelea kutikisa meza yenye hennessy nyingi tena awamu hii meza hii ipo karibu atamwaga vinywaji vyote na hatahama kama wanavodhani labda wamfukuze
 
You may thought that this chadema under Freeman Mbowe, fought for incriminations of democracy in Tanzania!
#Hillo ni genge lenye maudhui ya kujinufaisha na familia zao, chadema ile ya ahadi, italetwa na Lissu!
You may thought that,.....!
Lugha ngumu hii, kwanini usiandike lugha unayoijua badala ya kukera na pumba hizi?
 
View attachment 3180908
Baada ya Miezi zaidi ya mitano Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu kutuhuma hadharani kwamba kuna hela za Mama Abdul na Abdul zilipelekwa kuvuruga uchaguzi wa Chadema.

Lissu pia akaenda mbali zaidi na kuanza kutaja watu na miongoni mwao ni Mtu anaetajwa alikuwa ndiye Dalali wa kuunganisha hizo hela ni Mhe Wenje ambae ni Mwenyekiti wa Kanda ya Victoria na mjumbe wa kamati kuu na ndiye alimpeleka Abdul nyumbani kwa Lissu kwa kusudio la Kumuhonga

Mhe Wenje kwa miezi yote hiyo hajawahi kutamka wala kuelezea tuhuma hizo dhidi yake usipokuwa leo amekubali ombi la team ya Habari online Star Tv kusema haswa kipi ni Mbivu na kipi n mbichi

Tumefanya nae Mahojiano Maalumu kupitia Habari Star TV

Tumetaka kujua Abdul ni nani kwake Wenje

Tumetaka kujua ilikuwaje mpaka Lissu,Abdul na yeye wakakutana nyumbani kwa Lissu

Katika interview wenje amekiri wazi anamfamu Abdul kuwa ni mtoto wa Rais na anamawasiliano nae je swali walienda nyumbani na hela za kuhonnga?

Tukutane baadae mzigo utakuwa hewani
Duuuh habari nusunusuuuu
 
Nikawa najiuliza kwann wale ma bigi fishi wa chama hawapotei au kuuwawa kma hawa kina soka kumbe they have something in common with some bad people lkn LISSU kitambo amekuwa sio mtu wa madeal ndo mana aliwataja kina chenge na tibaijuka hadharani kuwa ni wezi bungeni hata baada ya kupigwa risasi 2017 bado ameendelea kutikisa meza yenye hennessy nyingi tena awamu hii meza hii ipo karibu atamwaga vinywaji vyote na hatahama kama wanavodhani labda wamfukuze
Mwisho wa siku lazima afukuzwe ataambiwa ni msaliti.
 
Back
Top Bottom