Pre GE2025 Wenje akiri kufahamiana na Abdul (Mtoto wa Rais) na ana mawasiliano naye

Pre GE2025 Wenje akiri kufahamiana na Abdul (Mtoto wa Rais) na ana mawasiliano naye

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
View attachment 3180908
Baada ya Miezi zaidi ya mitano Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu kutuhuma hadharani kwamba kuna hela za Mama Abdul na Abdul zilipelekwa kuvuruga uchaguzi wa Chadema.

Lissu pia akaenda mbali zaidi na kuanza kutaja watu na miongoni mwao ni Mtu anaetajwa alikuwa ndiye Dalali wa kuunganisha hizo hela ni Mhe Wenje ambae ni Mwenyekiti wa Kanda ya Victoria na mjumbe wa kamati kuu na ndiye alimpeleka Abdul nyumbani kwa Lissu kwa kusudio la Kumuhonga

Mhe Wenje kwa miezi yote hiyo hajawahi kutamka wala kuelezea tuhuma hizo dhidi yake usipokuwa leo amekubali ombi la team ya Habari online Star Tv kusema haswa kipi ni Mbivu na kipi n mbichi

Tumefanya nae Mahojiano Maalumu kupitia Habari Star TV

Tumetaka kujua Abdul ni nani kwake Wenje

Tumetaka kujua ilikuwaje mpaka Lissu,Abdul na yeye wakakutana nyumbani kwa Lissu

Katika interview wenje amekiri wazi anamfamu Abdul kuwa ni mtoto wa Rais na anamawasiliano nae je swali walienda nyumbani na hela za kuhonnga?

Tukutane baadae mzigo utakuwa hewani
Lissu yeye hafahamiani na wanaccm?

Jf ni kama kokoro imejaza watu wasio na ufahamu wa kuchekecha. Tangu lini kufahamiana na mtu ikawa jambo la mashaka? Wanasiasa mbalimbali wanafahamiana kupitia siasa, kuna kufahamiana kupitia shule nk.

Lissu alipopigwa risasi ndege iliyombeba kumpeleka Nairobi pesa,ililipwa na mwana CCM mbunge wa zanzibar, gari juzijuzi Lissu amekiri kuchangiwa na wanccm kwa hiyo kwa kuwa amenufaika na pesa,za CCM hivyo naye tumtuhumu ni kibaraka wa CCM?

Yeyote atakayechaguliwa kuwa M/kiti kuzungumza na CCM na serikali yake haikwepeki labda aamue kwenda msituni na hata huko itafika wakati atarudi atakaa mezani kuzungumza na ndiyo uzoefu duniani kote.
 
..kushughulika na Ccm yenyewe, sio matawi yake.

..ukishughulika na matawi yatachepuka mengine.
Acha UPUMBAVU wewe.Hatuwezi kukaa kimya pale chadema inapofanya maovu kisa tu chanzo cha maovu ni ccm.
Acheni rushwa WAPUMBAVU nyie.
 
Wenje kanisikitisha sana!
Tofauti kidogo na Msigwa, yeye nilidhani anayo nafuu kidogo kwenye upuuzi wa namna hii!

Najuwa huko ndani ya CHADEMA watu wa aina hii wamo wengi tu, ndiyo maana waTanzania wengi kusita kukiamini chama hiki hadi sasa.
Lakini, ni wazi ukiwa huko juu kabisa, huku chini ndipo panaoza kabisa.

Kwa hiyo hawa ndio "wajumbe wa Kamati Kuu" ambao ndio wanatakiwa kuamua maswala muhimu ya chama?
Walitaka Tundu Lissu awe anawasilisha habari huko zimaliziwe huko huko ndani! Huo ndio ujuha wenyewe.
Wenje na Wazo nawafahamu tukiwa vijana kabisa,wakati huo tunafundisha pale Thaqaafa Secondary...mimi nikiwa Chadema haswa ila Wenje na Mawazo wakiwa CCM haswa,Wenje alikuwa kiongozi wa CCM pale mtaa wa Rufiji.
Wenje ni muaminifu sana kwa wanaCCM haswa Mama Kabaka.
Nilikuja Shangaa sana Wenje kahamia Chadema na kupata ubunge..nakumbuka wakati Lowasa anahamia Chadema niliwauliza inakuwaje tunakubali hili swala,wakanijibu tumechoka kuwa wapinzani tunataka madaraka kwani wewe hutaki ukuu wa mkoa,niliwajibu inatakiwa tusimamie principles zetu.
Wenje kwa kifupi ni mwanaCCM
 
View attachment 3180908
Baada ya Miezi zaidi ya mitano Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu kutuhuma hadharani kwamba kuna hela za Mama Abdul na Abdul zilipelekwa kuvuruga uchaguzi wa Chadema.

Lissu pia akaenda mbali zaidi na kuanza kutaja watu na miongoni mwao ni Mtu anaetajwa alikuwa ndiye Dalali wa kuunganisha hizo hela ni Mhe Wenje ambae ni Mwenyekiti wa Kanda ya Victoria na mjumbe wa kamati kuu na ndiye alimpeleka Abdul nyumbani kwa Lissu kwa kusudio la Kumuhonga

Mhe Wenje kwa miezi yote hiyo hajawahi kutamka wala kuelezea tuhuma hizo dhidi yake usipokuwa leo amekubali ombi la team ya Habari online Star Tv kusema haswa kipi ni Mbivu na kipi n mbichi

Tumefanya nae Mahojiano Maalumu kupitia Habari Star TV

Tumetaka kujua Abdul ni nani kwake Wenje

Tumetaka kujua ilikuwaje mpaka Lissu,Abdul na yeye wakakutana nyumbani kwa Lissu

Katika interview wenje amekiri wazi anamfamu Abdul kuwa ni mtoto wa Rais na anamawasiliano nae je swali walienda nyumbani na hela za kuhonnga?

Tukutane baadae mzigo utakuwa hewani
Kifupi Wenje na Genge lake ni mapandikizi, bilashaka hata FAM ni walewale
 
You may thought chadema under Freeman Mbowe, fought for incriminations of democracy in Tanzania!
#Hillo ni genge lenye maudhui ya kujinufaisha na familia zao, chadema ile ya ahadi, italetwa na Lissu!
Mqbqdiliko au kitu chochote hapa duniani ambacho una uhakika nacho ni kile unacho fanye mwenyewe. Binafsi si aminj ktk mtu mwingine
 
Wenje na Wazo nawafahamu tukiwa vijana kabisa,wakati huo tunafundisha pale Thaqaafa Secondary...mimi nikiwa Chadema haswa ila Wenje na Mawazo wakiwa CCM haswa,Wenje alikuwa kiongozi wa CCM pale mtaa wa Rufiji.
Wenje ni muaminifu sana kwa wanaCCM haswa Mama Kabaka.
Nilikuja Shangaa sana Wenje kahamia Chadema na kupata ubunge..nakumbuka wakati Lowasa anahamia Chadema niliwauliza inakuwaje tunakubali hili swala,wakanijibu tumechoka kuwa wapinzani tunataka madaraka kwani wewe hutaki ukuu wa mkoa,niliwajibu inatakiwa tusimamie principles zetu.
Wenje kwa kifupi ni mwanaCCM
Binafsi ume nielewesha vizuri sana. Nakushukuru kwa hili.
 
Mbowe na chawa wake ndo shida ya Tanzania kukosa upinzani wa dhati, unaingia je maridhiano na mtu unae shindana nae bila lidhaa ya wanachama wako.
Kwani Mbowe amewazuia wengine kuwa wapinzani wa dhati??
 
hutaki ukuu wa mkoa,niliwajibu inatakiwa tusimamie principles zetu.
Sasa sijui ngazi uliyo fikia na uCHADEMA wako hapo ulipo; lakini ninakuomba sana usiubadili msimamo huu ulio kuwa nao toka mwanzo..
Umenipa sababu ya kufuatilia...
 
Kumchafua mtoto wa Rais ina maana unachafua image ya Rais mwenyewe. Nakumbuka Ridhwani alitoka hadharani wakati wa JK akasema amevumilia imetosha yoyote atakye mtuhumu kuwa anauza madawa basi Ridh atamburuza mahakamani ili apeleke ushahidi.
Swali ni moja tu kama anachosema Lissu ni uongo, ina maana ana idhalilisha familia ya Rais(Hakuna Rais atakayekubali familia yake ihusishwe na mambo ya Rushwa) sasa kwanini huyo anayeitwa Abdul asimburuze Lissu mahakamani kumshitaki kwa kosa la kumzushia uongo na kumchafua??

Vivyo hivyo kwanini Wenje na yeye asifike kwenye kamati ya maadili kumtuhumu Lissu kwa kumchafua na ikibidi hata kwenda mahakamani? Kwanini watu hawa wawili wanakubali Image zao Zichafuliwe na wao wametulia?

Lissu amewatega sasa nendeni mahakamani halafu tuone game itaishaje.
 
You may thought chadema under Freeman Mbowe, fought for incriminations of democracy in Tanzania!
#Hillo ni genge lenye maudhui ya kujinufaisha na familia zao, chadema ile ya ahadi, italetwa na Lissu!
"Nimemwambia Abdul amamwambie mama yake anilipe hela zangu, nimeshaandika barua mbili na hii ya tatu mpelekee " - Kamanda Lissu
Huoni kwamba jamaa ananjaa tu
 
View attachment 3180908
Baada ya Miezi zaidi ya mitano Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu kutuhuma hadharani kwamba kuna hela za Mama Abdul na Abdul zilipelekwa kuvuruga uchaguzi wa Chadema.

Lissu pia akaenda mbali zaidi na kuanza kutaja watu na miongoni mwao ni Mtu anaetajwa alikuwa ndiye Dalali wa kuunganisha hizo hela ni Mhe Wenje ambae ni Mwenyekiti wa Kanda ya Victoria na mjumbe wa kamati kuu na ndiye alimpeleka Abdul nyumbani kwa Lissu kwa kusudio la Kumuhonga

Mhe Wenje kwa miezi yote hiyo hajawahi kutamka wala kuelezea tuhuma hizo dhidi yake usipokuwa leo amekubali ombi la team ya Habari online Star Tv kusema haswa kipi ni Mbivu na kipi n mbichi

Tumefanya nae Mahojiano Maalumu kupitia Habari Star TV

Tumetaka kujua Abdul ni nani kwake Wenje

Tumetaka kujua ilikuwaje mpaka Lissu,Abdul na yeye wakakutana nyumbani kwa Lissu

Katika interview wenje amekiri wazi anamfamu Abdul kuwa ni mtoto wa Rais na anamawasiliano nae je swali walienda nyumbani na hela za kuhonnga?

Tukutane baadae mzigo utakuwa hewani

No wonder chadema ile isingeweza kushinda chaguzi.

Upepo uendelee kumpuliza kuku .. !
 
Lissu yeye hafahamiani na wanaccm?

Jf ni kama kokoro imejaza watu wasio na ufahamu wa kuchekecha. Tangu lini kufahamiana na mtu ikawa jambo la mashaka? Wanasiasa mbalimbali wanafahamiana kupitia siasa, kuna kufahamiana kupitia shule nk.

Lissu alipopigwa risasi ndege iliyombeba kumpeleka Nairobi pesa,ililipwa na mwana CCM mbunge wa zanzibar, gari juzijuzi Lissu amekiri kuchangiwa na wanccm kwa hiyo kwa kuwa amenufaika na pesa,za CCM hivyo naye tumtuhumu ni kibaraka wa CCM?

Yeyote atakayechaguliwa kuwa M/kiti kuzungumza na CCM na serikali yake haikwepeki labda aamue kwenda msituni na hata huko itafika wakati atarudi atakaa mezani kuzungumza na ndiyo uzoefu duniani kote.
Wapi Lisu kasema mtu mwingine kufahamiana na mwingine ni kosa?
 
Acha UPUMBAVU wewe.Hatuwezi kukaa kimya pale chadema inapofanya maovu kisa tu chanzo cha maovu ni ccm.
Acheni rushwa WAPUMBAVU nyie.

..Ccm waache kutoa rushwa.

..Chadema waache kupokea rushwa toka Ccm.

..chanzo cha fedha za rushwa ni ufisadi dhidi ya raia wa kawaida.
 
Nimemsikiliza na kumtazama kwa kipande kidogo cha video mliyoipost huko YouTube, maelezo yake yaliyojaa kubabaika kwingi yanathibitisha pasipo shaka kuwa Wenje na wenzake wamekula mlungula wa Rais Samia Suluhu Hassan kupitia kwa mwanae huyu aitwaye Abdul...

Maelezo na utetezi wake hata haungii kwenye akili ya mtu yeyote timamu. Yaani badala yajibu maswali muhimu, badala yake yameibua maswali mengine zaidi kuthibitisha tuhuma za Tundu Lissu....

By the way, mtu anaweza kujiuliza swali rahisi tu kwamba, hawa jamaa (Abdul na Hezekia Wenje) ni kina nani ktk serikali hata wawe mawakala wa kumsaidia Tundu Lissu kupata haki yake ya kisheria (malipo ya pesa zake anazodai) toka serikalini...?

Wote tunaelewa kuwa serikalini upo mfumo maalumu wa kupokea madai ya pesa ya kila anayedai ili alipwe. Tundu Lissu kama wengi wanaodai, ameshapeleka madai yake....

Kinachotakiwa ni kulipwa kwa utaratibu na mfumo rasmi wa malipo ya kiserikali. La madai yake hayakidhi uhalali au yana mapungufu na hivyo serikali haitaweza kumlipa, kwanini sasa isimjibu huyu mtu kwa maandishi kuwa hutalipwa pesa zako kwa sababu 1, 2, 3 nk...?

Hizi drama za kina Wenje na mtoto wa Rais Mr Abdul kumfuata huyu mwamba hadi nyumbani kwake haziwezi kuwa ni huruma za bure bali ni njia ya kwenda kumhonga na kumnyamzisha...

Walifanya kosa kubwa sana. Wataumbuka na wameanza tayari kuumbuka...!
 
Ohooo!!! Wenje hana biashara nyingine zaid ya siasa, hivyo Abdul ndiyo shamba lake??
Nimemsikiliza. Hakuna mashaka tena kwamba Wenje ni dalali na uhusiano wake na Abdul hauna afya.

Wenje chutama mwanangu
 
Back
Top Bottom