Pre GE2025 Wenje akiri kufahamiana na Abdul (Mtoto wa Rais) na ana mawasiliano naye

Pre GE2025 Wenje akiri kufahamiana na Abdul (Mtoto wa Rais) na ana mawasiliano naye

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
You may thought chadema under Freeman Mbowe, fought for incriminations of democracy in Tanzania!
#Hillo ni genge lenye maudhui ya kujinufaisha na familia zao, chadema ile ya ahadi, italetwa na Lissu!
Endelea kujificha nyuma ya key board ukijidanganya kuna mtu atakuletea mabadiliko.
 
Endelea kujificha nyuma ya key board ukijidanganya kuna mtu atakuletea mabadiliko.
Zungusha ngumi zungusha piiipooo pawaaah, tunawaamsha wananchi wasiwe wajinga wa kuzungusha ngumi, pale ni kazini kwa watu waliowazidi akili na ujanja wapo kazini na wanagawana fedha, yule mnyonge mjinga anayeacha shughuli zake na kwenda kusikiliza majizi maongo anapotea sana.
 
Duh Rushwa ni adui wa haki
Rushwa ni rafiki wa mjalaana abdul na mlaaniwa samia bushiri...niliwaambia watu kuwa ndani ya chadema kuna vibaraka wa genge hatari la raia feki linalo ongozwa na JAMBAZI Rostam azizi watu wakaniponda...niliwaambia kuwa vibaraka wa genge la raia feki waliopo chadema ndiyo wanausika na damu ya BEN SAA8 watu wakaniona mpumbavu ...sasa tujiulize kama wenje na abdul ni damu damu na wanatumika kuunda team ya walarushwa na lissu kasema kuwa wapo wengi wanapokea pesa sasa swali je wenje akujua walio mteka MZEE KIBAO je Alishindwa kumpigia simu rafiki yake Abdul kuhusu kutekwa wa mzee kibao au alitumiaje ukaribu wake na abdul kuzuia utekaji ambao hata wao chadema wanamshutumu mama abdul ...tumieni akili niliwaambia watu humu kuwa bwana mbowe ukitaka akuchape hata makofi wewe taja jina la Ben saa8 ...tatizo watanzania mna akili ndogo sana ...je wenje aliye na ukaribu na abdul aliutumiaje huo ukaribu kupigania uhai wa watu wa chadema wanaotekwa na kuuliwa au huo ukaribu ni siri na kama ni siri ni kwa maslai ya nani dhidi ya nani ?😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 mbowe ni muhuni toka zamani ...
💥💥💥RIWAYA SURA YA 6 :HARAKA ZA MBOWE MLAMBA ASALI NA CHUPA YAKE YA KONYAGI💥💥💥
 
You may thought chadema under Freeman Mbowe, fought for incriminations of democracy in Tanzania!
#Hillo ni genge lenye maudhui ya kujinufaisha na familia zao, chadema ile ya ahadi, italetwa na Lissu!
Hadi wewe umemkubali Lissu?
Umekomaa kiasi hiki?
Wewe sio mnazi wa chama isipokuwa unaongozwa na ukweli?
 
View attachment 3180908
Baada ya Miezi zaidi ya mitano Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu kutuhuma hadharani kwamba kuna hela za Mama Abdul na Abdul zilipelekwa kuvuruga uchaguzi wa Chadema.

Lissu pia akaenda mbali zaidi na kuanza kutaja watu na miongoni mwao ni Mtu anaetajwa alikuwa ndiye Dalali wa kuunganisha hizo hela ni Mhe Wenje ambae ni Mwenyekiti wa Kanda ya Victoria na mjumbe wa kamati kuu na ndiye alimpeleka Abdul nyumbani kwa Lissu kwa kusudio la Kumuhonga

Mhe Wenje kwa miezi yote hiyo hajawahi kutamka wala kuelezea tuhuma hizo dhidi yake usipokuwa leo amekubali ombi la team ya Habari online Star Tv kusema haswa kipi ni Mbivu na kipi n mbichi

Tumefanya nae Mahojiano Maalumu kupitia Habari Star TV

Tumetaka kujua Abdul ni nani kwake Wenje

Tumetaka kujua ilikuwaje mpaka Lissu,Abdul na yeye wakakutana nyumbani kwa Lissu

Katika interview wenje amekiri wazi anamfamu Abdul kuwa ni mtoto wa Rais na anamawasiliano nae je swali walienda nyumbani na hela za kuhonnga?

Tukutane baadae mzigo utakuwa hewani
Mimi sidhani kufahamiana na Abduli ni kosa na pia kula fedha zake haijawai kuwa kosa kwasababu fedha za huko zimeliwa na watu wengi tu na bado wakawa na misimamo yao kwahiyo kikubwa ni kuwa hulule kiakili kwa sababu hizo fedha ni za system.unawasikilizza wanataka nini unakwenda unachekecha akili kisha unazibwia mbona wakina mwamba wanazila tu kila siku na hakuna madhara yoyote. Kuna watu walikuwa wanaenda kuzichukua kwa viroba hizi hizo mpaka wakanunua mavogi na mahama na wanadunda tu kama wapinzani vile na wanaaminiwa sana. Kwahiyio kama wenje amepata chance ya kula wamuache ale tu.
 
Back
Top Bottom