Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hii ngoma bado kuna mengi yapo nyuma ya pazia, Wenje kusema alionana na Abdul kwenye event halafu ghafla akaanza kumpa majukumu ya kumsaidia Lissu lina ukakasi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu, wenje hata hakustahili kuwa mbunge, akili ndogo sana. Ni ule upepo wa mabdiliko tu ndiyo ulimbeba.Nimemsikiliza. Hakuna mashaka tena kwamba Wenje ni dalali na uhusiano wake na Abdul hauna afya.
Wenje chutama mwanangu
Jombaa umetupa uzi na kuwa wa kwanz.. NYANOKPYou may thought chadema under Freeman Mbowe, fought for incriminations of democracy in Tanzania!
#Hillo ni genge lenye maudhui ya kujinufaisha na familia zao, chadema ile ya ahadi, italetwa na Lissu!