Pre GE2025 Wenje akiri kufahamiana na Abdul (Mtoto wa Rais) na ana mawasiliano naye

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Niko hewani tayari, team ya MBOWE imejaa vilaza, walafi na wala rushwa... Kick them off now
 
You may thought that,.....!
Lugha ngumu hii, kwanini usiandike lugha unayoijua badala ya kukera na pumba hizi?
Incriminations of democracy 🤣😀😀 hata sielewi alikuwa anataka kusemaje!!! kwani si heri angeandika kilugha cha kwao ingekuwa poa tu kama hawezi kuandika kiswahili kuliko kupelekea aibu ndogondogo kwenye ukoo wao 🤔
 
Abdul aliongozana na wenje ,

Chadema Kuna utapeli
Wenje,mbowe,Lema,msigwa ni malaya wa kisiasa. Lisu amekosa chama sahihi, wengi wa wajumbe wa mkutano mkuu wananunulika, wengine hata Tzs 50,
You may thought that,.....!
Lugha ngumu hii, kwanini usiandike lugha unayoijua badala ya kukera na pumba hizi?
KINGEREZA CHA MMKWA
 
You may thought chadema under Freeman Mbowe, fought for incriminations of democracy in Tanzania!
#Hillo ni genge lenye maudhui ya kujinufaisha na familia zao, chadema ile ya ahadi, italetwa na Lissu!
Hicho 'kidhungu' bwana nenda kafanye mazoezi zaidi. Tumia hii lugha yetu nzuri tu inatosha kueleza vizuri tu unayo taka kutufahamisha juu yake.
Si mara ya kwanza, nimekusoma mara kadhaa ukiboronga tu kwenye lugha hiyo.

"You may think chadema under Freemani Mbowe fought for 'incriminations' (promotion?) of democracy in Tanzania"... Sasa sijui ulitaka kusema nini hapa, maanake hata sentensi yenyewe ime baki ikielea tu hewani!
 
Wenje kanisikitisha sana!
Tofauti kidogo na Msigwa, yeye nilidhani anayo nafuu kidogo kwenye upuuzi wa namna hii!

Najuwa huko ndani ya CHADEMA watu wa aina hii wamo wengi tu, ndiyo maana waTanzania wengi kusita kukiamini chama hiki hadi sasa.
Lakini, ni wazi ukiwa huko juu kabisa, huku chini ndipo panaoza kabisa.

Kwa hiyo hawa ndio "wajumbe wa Kamati Kuu" ambao ndio wanatakiwa kuamua maswala muhimu ya chama?
Walitaka Tundu Lissu awe anawasilisha habari huko zimaliziwe huko huko ndani! Huo ndio ujuha wenyewe.
 
Tudokezee kidogo ndugu mwandishi.

Maana Yericko Nyenyere anadai eti Abdul alienda kwa Lisu kuchukua nyaraka ili alipwe fedha zake. Really??? Abdul ni nani serikalini?

Huyu Yericko Nyenyere anatuchezea akili watanzania
Yericko naye amefanikiwa kuchekecha kwa mwenyekiti hatimaye kufaulu kujipatia kagorofa kake Game of fews bright men makonki master
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…