Endelea kujificha nyuma ya key board ukijidanganya kuna mtu atakuletea mabadiliko.You may thought chadema under Freeman Mbowe, fought for incriminations of democracy in Tanzania!
#Hillo ni genge lenye maudhui ya kujinufaisha na familia zao, chadema ile ya ahadi, italetwa na Lissu!
Zungusha ngumi zungusha piiipooo pawaaah, tunawaamsha wananchi wasiwe wajinga wa kuzungusha ngumi, pale ni kazini kwa watu waliowazidi akili na ujanja wapo kazini na wanagawana fedha, yule mnyonge mjinga anayeacha shughuli zake na kwenda kusikiliza majizi maongo anapotea sana.Endelea kujificha nyuma ya key board ukijidanganya kuna mtu atakuletea mabadiliko.
Yeriko ni tapeli. Kila siku a auza vitabu kwa punguzo. Sasa hilo ni punguzo au ndio bei yenyewe😁Wengine wanaambiwa zungusha ngumi zungusha, wengine wanajibonyezea tu kilainii,.
Rushwa ni rafiki wa mjalaana abdul na mlaaniwa samia bushiri...niliwaambia watu kuwa ndani ya chadema kuna vibaraka wa genge hatari la raia feki linalo ongozwa na JAMBAZI Rostam azizi watu wakaniponda...niliwaambia kuwa vibaraka wa genge la raia feki waliopo chadema ndiyo wanausika na damu ya BEN SAA8 watu wakaniona mpumbavu ...sasa tujiulize kama wenje na abdul ni damu damu na wanatumika kuunda team ya walarushwa na lissu kasema kuwa wapo wengi wanapokea pesa sasa swali je wenje akujua walio mteka MZEE KIBAO je Alishindwa kumpigia simu rafiki yake Abdul kuhusu kutekwa wa mzee kibao au alitumiaje ukaribu wake na abdul kuzuia utekaji ambao hata wao chadema wanamshutumu mama abdul ...tumieni akili niliwaambia watu humu kuwa bwana mbowe ukitaka akuchape hata makofi wewe taja jina la Ben saa8 ...tatizo watanzania mna akili ndogo sana ...je wenje aliye na ukaribu na abdul aliutumiaje huo ukaribu kupigania uhai wa watu wa chadema wanaotekwa na kuuliwa au huo ukaribu ni siri na kama ni siri ni kwa maslai ya nani dhidi ya nani ?😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 mbowe ni muhuni toka zamani ...Duh Rushwa ni adui wa haki
Mkuu,You may thought that,.....!
Lugha ngumu hii, kwanini usiandike lugha unayoijua badala ya kukera na pumba hizi?
Haaahaa 😊 😅Yeriko ni tapeli. Kila siku a auza vitabu kwa punguzo. Sasa hilo ni punguzo au ndio bei yenyewe😁
Mbowe yule ni pandikizi aise
Hadi wewe umemkubali Lissu?You may thought chadema under Freeman Mbowe, fought for incriminations of democracy in Tanzania!
#Hillo ni genge lenye maudhui ya kujinufaisha na familia zao, chadema ile ya ahadi, italetwa na Lissu!
Mbona umepiga na kupasua kabisa Comrade😅Yeriko ni tapeli. Kila siku a auza vitabu kwa punguzo. Sasa hilo ni punguzo au ndio bei yenyewe😁
Sasa kika siku anasema anauza kwa Bei ya ofa, hiyo ni ofa Sasa au ndio bei yenyewe?Mbona umepiga na kupasua kabisa Comrade😅
umeongea kingereza kigumu kama kile cha kirangaHapo hakuna broken yoyote, nimeongea kingereza chenyewe! 😀😀
Anzisha upinzani wako utusaidie watanzaniaMbowe na chawa wake ndo shida ya Tanzania kukosa upinzani wa dhati, unaingia je maridhiano na mtu unae shindana nae bila lidhaa ya wanachama wako.
Mimi sidhani kufahamiana na Abduli ni kosa na pia kula fedha zake haijawai kuwa kosa kwasababu fedha za huko zimeliwa na watu wengi tu na bado wakawa na misimamo yao kwahiyo kikubwa ni kuwa hulule kiakili kwa sababu hizo fedha ni za system.unawasikilizza wanataka nini unakwenda unachekecha akili kisha unazibwia mbona wakina mwamba wanazila tu kila siku na hakuna madhara yoyote. Kuna watu walikuwa wanaenda kuzichukua kwa viroba hizi hizo mpaka wakanunua mavogi na mahama na wanadunda tu kama wapinzani vile na wanaaminiwa sana. Kwahiyio kama wenje amepata chance ya kula wamuache ale tu.View attachment 3180908
Baada ya Miezi zaidi ya mitano Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu kutuhuma hadharani kwamba kuna hela za Mama Abdul na Abdul zilipelekwa kuvuruga uchaguzi wa Chadema.
Lissu pia akaenda mbali zaidi na kuanza kutaja watu na miongoni mwao ni Mtu anaetajwa alikuwa ndiye Dalali wa kuunganisha hizo hela ni Mhe Wenje ambae ni Mwenyekiti wa Kanda ya Victoria na mjumbe wa kamati kuu na ndiye alimpeleka Abdul nyumbani kwa Lissu kwa kusudio la Kumuhonga
Mhe Wenje kwa miezi yote hiyo hajawahi kutamka wala kuelezea tuhuma hizo dhidi yake usipokuwa leo amekubali ombi la team ya Habari online Star Tv kusema haswa kipi ni Mbivu na kipi n mbichi
Tumefanya nae Mahojiano Maalumu kupitia Habari Star TV
Tumetaka kujua Abdul ni nani kwake Wenje
Tumetaka kujua ilikuwaje mpaka Lissu,Abdul na yeye wakakutana nyumbani kwa Lissu
Katika interview wenje amekiri wazi anamfamu Abdul kuwa ni mtoto wa Rais na anamawasiliano nae je swali walienda nyumbani na hela za kuhonnga?
Tukutane baadae mzigo utakuwa hewani
CCM ni watu kama Mbowe 😄..inabidi kushughulika na Ccm.
..Ccm ndio chanzo cha matatizo yote kisiasa ya Tanzania.
Kwani Abdul siyo MTU na siyo mtanzania? Abdul ni zimwi mpaka kuongozana naye uwe utapeli?Abdul aliongozana na wenje ,
Chadema Kuna utapeli
Hivi wale waliokiitwa covid 19 wanahudhuria vikao vya chama?Mbowe na chawa wake ndo shida ya Tanzania kukosa upinzani wa dhati, unaingia je maridhiano na mtu unae shindana nae bila lidhaa ya wanachama wako.
CCM ni watu kama Mbowe 😄