Hii ngoma bado kuna mengi yapo nyuma ya pazia, Wenje kusema alionana na Abdul kwenye event halafu ghafla akaanza kumpa majukumu ya kumsaidia Lissu lina ukakasi sana
You may thought chadema under Freeman Mbowe, fought for incriminations of democracy in Tanzania!
#Hillo ni genge lenye maudhui ya kujinufaisha na familia zao, chadema ile ya ahadi, italetwa na Lissu!